TUZO ZA GRAMMY NI MFUPA MGUMU KWA DIAMOND

NYOTA WETU. Licha ya mafanikio makubwa waliyopata Diamond Platinumz na Rema kwa hivi karibuni kwa kushinda tuzo kubwa Duniani lakini hawajafanikiwa kugusa kwenye list ya wasanii wanaowania tuzo za 66 za Grammy zilizotangazwa Novemba 11,2023. Diamond Platinumz ni Best African Act kupitia tuzo za MTV European Music Awards 2023 na kuweka rekodi ya kuwa msanii… Continue reading TUZO ZA GRAMMY NI MFUPA MGUMU KWA DIAMOND

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner