Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump amekutwa na hatia ya uharifu kwa mashtaka ya jinai 34

Hayo yamebainishwa na Jopo la wajumbe wa mahakama mjini New York,siku ya jana Alhamisi ambapo walisema kuwa Donald Trump anakabiliwa na mashtaka 34 ikiwemo ya kugushi hati zake za biashara. Jopo hilo lenye wajumbe 12 lilitathmini na kutafakari kwa siku mbili ushahidi wote liliopokea na kutoa uamuzi dhidi ya Trump mwenye umri wa miaka 77… Continue reading Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump amekutwa na hatia ya uharifu kwa mashtaka ya jinai 34

MCHEZAJI WA KLABU YA AL AHLY AHUKUMIWA JELA MWAKA MMOJA NA KUZUIWA KUCHEZA SOKA

Mchezaji nyota wa Al Ahly Hussein El-Shahat amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela na faini ya pauni 100,000 za Misri kwa kosa la kumpiga Mohamed Chibi wa Pyramids kwenye mchezo ambao Al Ahly alifungwa Mabao matatu kwa bila msimu uliopita. Baada ya kumalizika kwa mchezo huo Hussein El-Shahat alionekana kumpiga Vibao Chibi huku akidai kuwa… Continue reading MCHEZAJI WA KLABU YA AL AHLY AHUKUMIWA JELA MWAKA MMOJA NA KUZUIWA KUCHEZA SOKA

Following the termination of Davido’s label, DMW’s partnership with Solana, Wizkid publicly criticized Davido partnership’s swift dissolution and subsequent decline in Solana’s value within 24 hours prompted Wizkid’s negative comments.

Renowned Nigerian musician Wizkid has taken to social media to express his disapproval of his colleague Davido, following the sudden conclusion of Davido’s collaboration with the cryptocurrency Solana, which was cut short due to a decrease in its market value. Wizkid, publicly criticized his rival Davido on various social media platforms after Davido’s partnership with… Continue reading Following the termination of Davido’s label, DMW’s partnership with Solana, Wizkid publicly criticized Davido partnership’s swift dissolution and subsequent decline in Solana’s value within 24 hours prompted Wizkid’s negative comments.

MBUNGE WA CCM AJICHONGEA AKITAKA UWAZIRI

Karibu Mtanzania popote pale ulipo kwenye asubuhi ya leo kwenye mbao za magazeti ya hivi leo popote pale ulipo kwenye Jamhuri yetu tukufu ya Tanzania.

Simi composes sincere heartfelt messages to commemorates her daughter Deja on the occasion of her 4th birthday

Simi composes sincere heartfelt messages to commemorates her daughter Deja on the occasion of her 4th birthday Simi, the talented songstress from Nigeria, also known as Simisola Kosoko, commemorated her daughter, Deja, on her special day today, May 30th, with touching messages filled with love. In a display of affection, the graceful mother shared on… Continue reading Simi composes sincere heartfelt messages to commemorates her daughter Deja on the occasion of her 4th birthday

TECHNIQUES OF CONFLICT RESOLUTION IN MARRIAGE

MIKE TYSON AKIRI KWASASA YUKO VIZURI BAADA YA KUUGUA

Mwana-Masumbwi mkongwe Mike Tyson (58), ameripotiwa kuugua juzi akiwa kwenye Ndege akitokea Miami kuelekea jijini Los Angeles. Kwa mujibu wa msemaji wake, bingwa huyo wa zamani wa ndondi alianza kujisikia vibaya takribani dakika 30 kabla ya kutua. Mara tu baada ya kutua alipokelewa na timu ya wauguzi na kwa sasa hali yake inaendelea vizuri. Mwaka… Continue reading MIKE TYSON AKIRI KWASASA YUKO VIZURI BAADA YA KUUGUA

MAGAZETI YA LEO 29 MEI 2024

WHY A CHEATING WOMAN IS MORE DANGEROUS THAN POISON

A CHEATING WOMAN IS MORE DANGEROUS THAN POISON A man can cheat on his woman and still love her but a woman cannot cheat on her man and still love him. I say this because while men do not have sex with emotions, women can’t have sex without attaching emotions to it. This is the… Continue reading WHY A CHEATING WOMAN IS MORE DANGEROUS THAN POISON

Actress Regina Daniel and her spouse, Ned Nwoko mark a significant milestone on their marriage

A touching video showcasing their close bond and treasured moments was posted to commemorate their five-year wedding anniversary. The fifth anniversary of their marriage, marked by unwavering love and years of marital bliss, was celebrated by Nigerian movie star Regina Daniels and her politician husband Ned Nwoko. Regina Daniel rejoiced in their union and thanked… Continue reading Actress Regina Daniel and her spouse, Ned Nwoko mark a significant milestone on their marriage

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner