Tiwa Savage lauds Olamide,describes him as a genius and exceptional songwriter

CELEBRITIES Afrobeat singer Tiwa Savage recently expressed her admiration for famous rapper Olamide, describing him as a genius and reflecting on their collaboration experiences. In a recent interview, the singer was asked to name an artist whose work and talent mesmerizes her, and she named YBNL boss, Olamide. She revealed that Olamide wrote her hit… Continue reading Tiwa Savage lauds Olamide,describes him as a genius and exceptional songwriter

Sababu za kufukuzwa Mauricio Pochettino Chelsea

UCHAMBUZI Ukweli mwingine ambao sioni watu wakiusema ni kwamba kilichomuondoa Pochettino ni sawa na kilichomuondoa Thomas Tuchel, ni makubaliano ya pande zote mbili. Yani wamiliki wanasema tunataka timu tuiendeshe kwa mfumo huu, kocha anasema hapana tuiendeshe kwa mfumo huu. Pochettino hajafukuzwa, ni kushindwa kufikia makubaliano kwa pande zote mbili. Lakini pia hii ndiyo maana na… Continue reading Sababu za kufukuzwa Mauricio Pochettino Chelsea

8 games,0 goals for Fulham- What’s next for Armando Broja?

SPORTS Armando Broja spent the second part of the season on loan with Fulham after failing to win the competition for places at Chelsea. The striker did not do well at Craven Cottage, providing one assist and failing to score a single goal in eight league appearances. Speaking to Give Me Sport, reporter Ben Jacobs… Continue reading 8 games,0 goals for Fulham- What’s next for Armando Broja?

Jacob Zuma awalalamikia majaji kumzuia kugombea Ubunge

HABARI KUU Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Jacob Zuma amewalalamikia majaji waliotoa uamuzi wa kumzuia kuwania ubunge katika hukumu walioitoa Jumatatu. Katika mahojiano yake ya kwanza tangu mahakama kumpiga stop kugombea, Zuma ameiambia BBC kwamba Mahakama ya Kikatiba ilikosea kutoa uamuzi kwamba hafai kugombea, kutokana na hukumu dhidi yake ya mwaka 2021 iliyomwona ana… Continue reading Jacob Zuma awalalamikia majaji kumzuia kugombea Ubunge

WANAFUNZI WAFARIKI KWA KUVUTA MOSHI WA JENERETA

HABARI KUU Wanafunzi saba wa chuo kikuu wamefariki dunia baada ya kuvuta moshi wa jenereta katika studio ya muziki kwenye jimbo lenye utajiri wa mafuta la Bayelsa nchini Nigeria. Vijana hao wanasemekana kufanya kazi hadi Jumatatu usiku na kulala kwenye studio iliyofungwa milango huku jenereta likiendelea kufanya kazi. Wanashukiwa kufa kwa kukosa hewa safi na… Continue reading WANAFUNZI WAFARIKI KWA KUVUTA MOSHI WA JENERETA

THINGS YOU MUST GIVE YOUR SPOUSE

LOVE TIPS ❤ 6 THINGS YOU MUST GIVE YOUR SPOUSE: Do you really desire a healthy marriage? Are you really sure? Are you ready to give it all it will take? If you answered yes to all these questions, then let me tell you some things you must give to your spouse if you really… Continue reading THINGS YOU MUST GIVE YOUR SPOUSE

TB Joshua na sakata la kuwanyanyasa wanawake kingono

HABARI KUU BBC World Service wamegundundua madudu ya nabii Joshua. TB Joshua ahusishwa na skendo nzito ya unyanysaji, ubakaji, kuwapa mimba na kuwatoa mimba kinguvu wafuasi wake, vipigo na kutengeneza miujiza feki na shuhuda za uongo za uponyaji ili kuhadaa umma kwa miaka mingi BBC Africa Eye ndio imeachia uchunguzi huo maalum, documentary ya zaidi… Continue reading TB Joshua na sakata la kuwanyanyasa wanawake kingono

Sababu za Waziri Mkuu Succès Masra kujiuzulu

HABARI KUU Waziri Mkuu wa Chad, Succès Masra, amewasilisha barua yake ya kujiuzulu Mei 22,2024 ikiwa ni zaidi ya wiki mbili baada ya kushindwa katika uchaguzi wa Rais wa Mei 6 huku Jenerali Mahamat Idriss Déby Itno, akiibuka mshindi. “Nimewasilisha kujiuzulu kwangu na kwa Serikali ya mpito, ambayo imekuwa haina umuhimu na kumalizika kwa Uchaguzi… Continue reading Sababu za Waziri Mkuu Succès Masra kujiuzulu

LHRC KUMSHITAKI OSCAR OSCAR

NYOTA WETU Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimekemea Vitendo vya Udhalilishaji vinavyofanywa na Mwanahabari Oscar Oscar kupitia Habari Picha za Mzaha (Memes) anazozisambaza Mitandaoni LHRC imenukuu Ibara ya 12 ya Katiba ya Tanzania inayolinda heshima ya kutambuliwa na kuthaminiwa Utu wa Mtu na inapinga ubaguzi, Mkataba wa kupinga aina zote za Ubaguzi… Continue reading LHRC KUMSHITAKI OSCAR OSCAR

Tiwa Savage laments how Nigerians criticize her “sexy fashion ” sense

CELEBRITIES Nigerian musician, Tiwa Savage has revealed how she was highly attacked for her “sexy” fashion sense in the early days of her career. In a recent interview with Kiss FM in the United Kingdom, Savage recounted being chastised for her “risky” songs when she was younger. She revealed that her obsession with Ayra Starr… Continue reading Tiwa Savage laments how Nigerians criticize her “sexy fashion ” sense

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner