Rekodi ya Pep Guardiola dhidi ya Alex Ferguson

MICHEZO Baada ya kuiongoza Manchester City kushinda ubingwa wa Ligi Kuu England kwa mara ya nne mfululizo, Pep Guardiola ameshinda jumla ya mataji 17 tangu atue klabuni hapo. Man City inakuwa timu ya kwanza katika historia ya Ligi kuu England kutwaa ubingwa mara nne mfululizo rekodi ambayo hata kocha wa zamani wa Manchester United, mkali… Continue reading Rekodi ya Pep Guardiola dhidi ya Alex Ferguson

THINGS NOT TO DO IMMEDIATELY AFTER A BREAK UP IN RELATIONSHIPS

LOVE TIPS ❤ 1) RUN INTO ANOTHER RELATIONSHIP Don’t try to use a new relationship to forget an old one, Relationship is not a App you install just to help you forget your Ex, after you forget your ex, what then happens to the INSTALLED App? Don’t let mourning confuse you. 2) ISOLATE YOURSELF FROM… Continue reading THINGS NOT TO DO IMMEDIATELY AFTER A BREAK UP IN RELATIONSHIPS

RAIS WA IRAN IBRAHIMU RAISI ATHIBITIKA KUFARIKI KWENYE AJALI YA HELIKOPTA

HABARI KUU Taarifa iliyotolewa na kituo cha Televisheni cha Serikali ya Iran zimesema hakuna dalili za watu kuwa hai kufuatia kuanguka kwa helikopta iliyombeba Rais wa nchi hiyo Ebrahim Raisi pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo IHossein Amir-Abdollahian. Awali ilielezwa kuwepo kwa hali mbaya ya hewa ukiwepo ukungu mwingi katika eneo… Continue reading RAIS WA IRAN IBRAHIMU RAISI ATHIBITIKA KUFARIKI KWENYE AJALI YA HELIKOPTA

MAZIKO YA ASKOFU ALIYEJINYONGA YASUBIRI UCHUNGUZI

MAGAZETI Karibu Mtanzania popote pale ulipo kwenye asubuhi ya leo kwenye mbao za magazeti ya hivi leo popote pale ulipo kwenye Jamhuri yetu tukufu ya Tanzania.

50 Cent bado aendelea kumkomalia Sean Combs “P Diddy “

BURUDANI Rapa 50 Cent, ameendelea kumkejeli Sean Combs maarufu kama Diddy, baada ya Ku-Comment kwenye Video iliyochapishwa na rapa huyo akiomba msamaha na kusema msamaha aliouomba hauto saidia kitu, na kuhoji nani anayemshauri hivi sasa. Hii inakuja kufuatia Video ya Diddy iliyovujishwa na kituo cha runinga cha CNN May 17, ambayo ilimuonesha rapa huyo akimpiga… Continue reading 50 Cent bado aendelea kumkomalia Sean Combs “P Diddy “

Diddy issues public apology following the a video showing him physically assaulting his former partner Cassie on the Internet

CELEBRITIES Diddy, a renowned American hip-hop artist and successful entrepreneur, has publicly expressed his remorse in a widely circulated online video. This apology comes in the wake of a video surfacing where he was seen engaging in physical assaulting his former partner, Cassie, at a hotel. On May 19th, 2024, Diddy took to his official… Continue reading Diddy issues public apology following the a video showing him physically assaulting his former partner Cassie on the Internet

WHAT MANY PEOPLE DON’T UNDERSTAND ABOUT LOVE

LOVE TIPS ❤ 1. There will be times I will be so mad at you and cold towards you. It’s not that I hate you. I am just disappointed by what you did, my love hasn’t gone any where 2. There will be times I will not spend as much time with you as you… Continue reading WHAT MANY PEOPLE DON’T UNDERSTAND ABOUT LOVE

Ndege iliyombeba Rais Ebrahim Raisi wa Iran yapata ajali

HABARI KUU Helikopta iliyombeba Rais Ebrahim Raisi wa Iran imepata ajali magharibi mwa nchi hiyo leo na vikosi vya uokoaji vimetumwa kuitafuta. Waziri wa mambo ya ndani wa Iran Ahmed Vahidi amesema hali mbaya ya hewa na ukungu mzito ndiyo chanzo cha ajali hiyo na kwamba huenda itachukua muda kwa vikosi vya waokoaji kulifikia eneo… Continue reading Ndege iliyombeba Rais Ebrahim Raisi wa Iran yapata ajali

DIAMOND ANAUA MZIKI WETU MAKUSUDI

MAKALA –Kwa miaka mingi sana tumekuwa tukimtazama Sana diamond platnumz kuwa ndio msanii pekee mwenye mabavu ya kuufanya mziki wetu kufika kimataifa imekuwa tofauti na mtazamo yetu. Siku hizi diamond platnumz amekuwa msanii wa kisujudia radha ya mziki wa Amapiano na kuitupa mbali Bongo Fleva, Kwa muktadha huo inamaanisha diamond platnumz ameamua kutusaliti sisi watanzania… Continue reading DIAMOND ANAUA MZIKI WETU MAKUSUDI

JESHI LA CONGO LATHIBITISHA KUWASHIKILIA WALIOPANGA MAPINDUZI

HABARI KUU Jeshi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, limetangaza kuwakamata washukiwa wa shambulio katika Ikulu ya Rais jijini Kinshasa, shambulio linalodaiwa kuwa jaribio la Mapinduzi. Waliokamatwa ni pamoja na Christian Malanga raia wa DRC anayeishi Marekani akiwa miongoni mwa waliokuwa wameongoza kundi lililohusika na shambulio hilo. Kundi hilo lilikuwa limeshikilia bendera ya Zaire kabla… Continue reading JESHI LA CONGO LATHIBITISHA KUWASHIKILIA WALIOPANGA MAPINDUZI

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner