Cubana Chief Priest expresses his excitement over the news of Davido’s impending wedding to his long-time girlfriend, Chioma.

In a video shared on June 12th, 2024, Davido revealed during a meeting with Pastor Tiobi Adegboyega in the UK that he and Chioma would be having their traditional wedding on June 25th, 2024. The video captured Davido informing the pastor about the upcoming ceremony and extending an invitation for their presence. Cubana Chief Priest,… Continue reading Cubana Chief Priest expresses his excitement over the news of Davido’s impending wedding to his long-time girlfriend, Chioma.

JE KUDONDOKA KWA MATITI YA MWANAMKE KUNASABABISHWA NA KUSHIKWASHIKWA NA MWANAUME?

Kuanguka baada ya kushikwa na wanaume. Kumekuwepo na dhana tofauti tofauti kuhusiana na kudondoka Kwa matiti ya mwanamke ambazo hazina ukweli ndani yake;Kisayansi kudondoka kwa matiti kunaweza kuelezewa kama ifuatavyo. Ukuaji wa matiti ya mwanamke huongozwa na mfumo wa taarifa za urithi (Genes) pamoja na mfumo wa vichocheo vya mwili (Homoni). Hakuna mfumo mmoja wa… Continue reading JE KUDONDOKA KWA MATITI YA MWANAMKE KUNASABABISHWA NA KUSHIKWASHIKWA NA MWANAUME?

FAHAMU SABABU KWANINI WATOTO HUWA WANALIA USIKU

Watoto huelezea hisia zao tofauti na watu wazima ambao mojawapo ni kulia, watoto kulia usiku ni hali ya kawaida ambayo inaweza kusababishwa na mambo mbalimbali. Kujua sababu hizi na kuchukua hatua sahihi kunaweza kusaidia kumtuliza mtoto na kuhakikisha usiku mzuri wa kulala. Sababu hizo ni:- 1️⃣Njaa: Watoto wadogo, hasa wachanga, wanaweza kulia usiku kwa sababu… Continue reading FAHAMU SABABU KWANINI WATOTO HUWA WANALIA USIKU

HATUA ZA KUFUATA KUHAKIKISHA MAMA ANAJIFUNGUA SALAMA

Kupata ujauzito ni jambo la kusisimua na lenye kuleta furaha kwenye familia baina ya wapendanao. Na Ili kuhakikisha afya njema kwa mama na mtoto, ni muhimu kuchukua hatua sahihi mara tu baada ya kugundua kuwa mama ana ujauzito. Zifuatazo ni hatua muhimu za kuchukua baada ya mama kupata ujauzito; 1️⃣. Panga Ziara ya kumuona Daktari:… Continue reading HATUA ZA KUFUATA KUHAKIKISHA MAMA ANAJIFUNGUA SALAMA

13 BEST REASON WHY HUMILITY IS IMPORTANT IN MARRIAGE

KURASA ZA MAGAZETI YA HIVI LEO

Karibu Mtanzania popote pale ulipo kwenye asubuhi ya leo kwenye mbao za magazeti ya hivi leo popote pale ulipo kwenye Jamhuri yetu tukufu ya Tanzania.

During menstruation, there are no specific activities that women universally should avoid, but there are some common recommendations and considerations to help manage comfort and health:

Here some few tips; 1) Avoid Overexertion:While exercise can help alleviate cramps and improve mood, it’s important to listen to your body and avoid overly strenuous activities if you’re feeling fatigued or in pain. 2) Skip Tampons if Risk Factors for TSS:If you have a history of Toxic Shock Syndrome (TSS) or have certain risk… Continue reading During menstruation, there are no specific activities that women universally should avoid, but there are some common recommendations and considerations to help manage comfort and health:

JE NI NJIA IPI SALAMA YA KUJIFUNGUA MTOTO?

AFYA Kujifungua ni tukio muhimu na la kipekee katika maisha ya mwanamke.Njia za kujifungua zina jumuisha kujifungua kwa kawaida (vaginal delivery) na kujifungua kwa upasuaji (caesarean section).Na kila njia ina faida na hatari zake, na uamuzi wa njia bora unategemea hali ya afya ya mama na mtoto, pamoja na mapendekezo ya kitaalamu. Maelezo ya kina… Continue reading JE NI NJIA IPI SALAMA YA KUJIFUNGUA MTOTO?

KISUKARI CHA MIMBA NI UGONJWA GANI?

AFYA Kisukari cha mimba ni aina ya ugonjwa wa kisukari ambao huwapata wanawake wakati wa ujauzito.Hali hii hutokea wakati mwili hauwezi kuzalisha insulini ya kutosha ili kukidhi mahitaji ya ujauzito, na hivyo kusababisha viwango vya sukari kuwa juu zaidi kwenye damu.Yafuatayo ni maelezo ya kina kuhusu kisukari cha mimba, athari zake, na jinsi ya kuudhibiti:-… Continue reading KISUKARI CHA MIMBA NI UGONJWA GANI?

JE KUNA MADHARA YA KUTOA MIMBA?

Kabla hujafikiria kutoa mimba, ni muhimu kufahamu matokeo mabaya kiafya yanayoweza kujitokeza siku za mbele baada ya kufanya kitendo hichi, hasa kwenye swala zima la uzazi. NINI KINATOKEA BAADA YA KUTOA MIMBA? -Wanawake wengi hupata dalili hizi siku chache baada ya kutoa mimba, dalili ambazo zinaweza kuchukua mpaka siku 21 kuisha 1.kutokwa damu kwa week… Continue reading JE KUNA MADHARA YA KUTOA MIMBA?

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner