RAIS JAVIER MILEI KUWAFUTA KAZI WAFANYAKAZI WA SERIKALI

HABARI KUU Rais Javier Milei amepanga kuwafuta kazi Wafanyakazi wa Serikali 70,000 ambao Mikataba yao inatarajiwa kumalizika hivi karibuni ili kupunguza matumizi ya Serikali. Akizungumza Machi 26, 2024 amesema amepanga kusitisha baadhi ya Miradi ya Umma na kufuta zaidi ya programu 200,000 za Ustawi wa Jamii baada ya Miradi hiyo kihusishwa na Rushwa. Amesema “Tumeondoa… Continue reading RAIS JAVIER MILEI KUWAFUTA KAZI WAFANYAKAZI WA SERIKALI

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner