HABARI KUU Jumla ya wagombea wanne wa urais nchini CONGO wamejiengua kwenye mchakato wa kinyang’anyiro cha kugombea urais wa CONGO na kuamua kumuunga mkono ,Gavana wa zamani wa jimbo lenye utajiri wa madini ,Moise Katumbi “Chapwe” ambaye ni mgombea wa upinzani. Wanasiasa waliojitoa kwenye mchakaro huo ni; Delly Sesanga,Matata Ponyo, Seth Kikuni na Franck Diongo.… Continue reading KATUMBI NA TSHISEKEDI NANI KUICHUKUA DRC?
Tag: #katumbi #drc #siasa
KATUMBI KUWANIA URAIS DRC
HABARI KUU Mfanyabiashara wa madini na mmiliki wa klabu ya TP Mazembe ,Moise Katumbi (58) ambaye ni Gavana wa zamani wa jimbo la Katanga anatarajia kuwania urais kupitia tiketi ya upinzani baada ya Mahakama kuu nchini Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo kutupilia mbali kesi iliotaka kumzuia Katumbi kuwania urais kwa madai ya kwamba yeye sio… Continue reading KATUMBI KUWANIA URAIS DRC