WILLIAM RUTO KUMUIGA SAMIA KWENYE SOKA ATOA AHADI HIIDiscoverCars.com

MICHEZO Rais William Ruto ameahidi kujitolea kufufua soka la Kenya katika kujenga miundombinu, maendeleo ya vijana na usaidizi kwa vilabu na timu za kitaifa. Ameyasema hayo katika hafla ya kuadhimisha kumbukumbu ya miaka 60 ya AFC Leopards huku Rais huyo akiahidi kutoa kitita cha milioni kumi kwa klabu hiyo. Katika hotuba yake, Rais Ruto alikiri… Continue reading WILLIAM RUTO KUMUIGA SAMIA KWENYE SOKA ATOA AHADI HIIDiscoverCars.com

BAADA YA KIFO CHA MR IBU MAPYA YAIBUKA

NYOTA WETU Kufuatia kifo mwigizaji na mchekeshaji wa Nigeria, John Okafor maarufu kama Mr Ibu kilichotokea Machi 2, 2024 mapya yameibuka baada ya kudaiwa kutengwa na wake zake huku binti yake wa kambo akichukua akaunti ya TikTok ya msanii huyo na kubadili umiliki wa akaunti hiyo na kuifanya yake. Mr Ibu alitalikiana na mke wake… Continue reading BAADA YA KIFO CHA MR IBU MAPYA YAIBUKA

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner