30 WAYS TO BRING ROMANCE BACK TO YOUR RELATIONSHIP OR MARRIAGE WITHOUT INVOLVING SEX

LOVE TIPS ❤ We always mistake romance whenever it’s mentioned as sex or sexually related. But romance is actually anything you do to your partner that communicate and show that him/her is special to you. Here are a few examples. 1. Giving your partner a special name that you wouldn’t call any other person such… Continue reading 30 WAYS TO BRING ROMANCE BACK TO YOUR RELATIONSHIP OR MARRIAGE WITHOUT INVOLVING SEX

MATESO ANAYOPITIA RAIS ALIYEPINDULIWA NA JESHI ALI BONGO

HABARI KUU Rais wa Gabon aliyeondolewa madarakani, Ali Bongo pamoja na wanawe wawili wameanza mgomo wa kula wakilalamikia “vitendo vya mateso na ukatili” wanavyofanyiwa, mawakili wa familia hiyo wamesema. Bongo aliondolewa madarakani katika mapinduzi ya kijeshi mwezi Agosti mwaka jana, muda mfupi baada ya kushinda kura za urais. Kisha alizuiliwa nyumbani kwake katika mji mkuu,… Continue reading MATESO ANAYOPITIA RAIS ALIYEPINDULIWA NA JESHI ALI BONGO

CASTER SEMENYA KURUDI MASHINDANONI AKIVUKA KIZUIZI HIKI

MICHEZO Mawakili wa bingwa wa Olimpiki mara mbili, Caster Semenya wanasema mteja wao “anajisikia utulivu na kujiamini” kabla ya kusikilizwa kwa kesi inayohusu kama atatakiwa kupunguza viwango vyake vya homoni za kiume (testosterone) kabla ya kushiriki mashindano ya riadha kama mwanamke au la. Mahakama ya Ulaya ya Haki za Binadamu iliyoko Strasbourg, Ufaransa, inasikiliza kesi… Continue reading CASTER SEMENYA KURUDI MASHINDANONI AKIVUKA KIZUIZI HIKI

Davido wished his daughter Imade a happy 9th birthday

CELEBRITIES On the occasion of her birthday, Imade Adeleke, the eldest daughter of renowned Nigerian singer and Afrobeat artist David Adedeji Adeleke, was honored with a special celebration. The special occasion was marked with a heartwarming celebration, where Davido showered his daughter with love and admiration as a proud father. Davido posted a stunning photo… Continue reading Davido wished his daughter Imade a happy 9th birthday

12 HIDDEN TRUTHS ABOUT MARRIAGE

LOVE TIPS ❤ 1. There is nothing that threatens the security of a wife than the thought of another woman competing for the attention and affection of her husband. Nothing is more painful. Nothing is more disrespecting. Nothing is more insulting. Nothing is more belittling and degrading. 2. Marriage flourishes when the couple work together… Continue reading 12 HIDDEN TRUTHS ABOUT MARRIAGE

ARSENAL NA LIVERPOOL WAINGIA KWENYE VITA YA ANTONY GORDON

MICHEZO Arsenal huenda ikaangukia pua katika mchakato wa kuwania saini ya Mshambuliaji wa Newcastle United, Alexandre lsak baada ya Liverpool kuonyesha nia ya kutaka kumsajili Antony Gordon kutoka hapohapo Newcastle. Kwa mujibu wa Daily Star, ikiwa Liverpool itafanikisha mchakato wa kumsajili Gordon kuna uwezekano mkubwa Newcastle ikasitisha mpango wa kumuuza lsak kwa sababu itakuwa imeshajiweka… Continue reading ARSENAL NA LIVERPOOL WAINGIA KWENYE VITA YA ANTONY GORDON

AJALI ILIVYOUWA WATU 7 MOROGORO

HABARI KUU Watu saba wamefariki dunia na wengine sita kujeruhiwa kufuatia ajali iliyohusisha gari aina ya Toyota Noah, yenye namba za usajili T101 DKB kugongana uso kwa uso na Lori aina ya Man lenye namba za usajili RL 1801 katika barabara kuu ya Dodoma – Morogoro. Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro,… Continue reading AJALI ILIVYOUWA WATU 7 MOROGORO

HOW TO UNLOCK YOUR WOMAN’S HEART AND MAKE HER FALL IN LOVE WITH YOU

LOVE TIPS ❤ What’s wrong with your wife? Why is your fiancee acting cold? Why wouldn’t your lady friend accept your marriage proposal? Why does your wife hate sex and tune off each time you are horny? Why does she hate this thing as much as you love it? Why won’t she get orgasm? She’s… Continue reading HOW TO UNLOCK YOUR WOMAN’S HEART AND MAKE HER FALL IN LOVE WITH YOU

RAILA ODINGA ATAJA VIPAUMBELE AKICHAGULIWA KUWA MWENYEKITI WA AU

HABARI KUU Kiongozi wa Azimio, Raila Odinga ameeleza majukumu ambayo atatekeleza iwapo atafanikiwa kuchaguliwa kuwa mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AU). Mambo hayo ni pamoja na kuhakikisha AU inafadhili programu na shughuli zake yenyewe. Odinga pia anaona Afrika inaweza kufanya vizuri zaidi katika kilimo na ndipo anasema atahimiza utoaji wa pembejeo za kilimo… Continue reading RAILA ODINGA ATAJA VIPAUMBELE AKICHAGULIWA KUWA MWENYEKITI WA AU

MAMBA NA KIBOKO WALIOLETWA NA MAFURIKO TISHIO DAR

HABARI KUU Wakazi wa jiji la Dar es Salaam wametakiwa kuchukua taadhari juu ya Wanyama wakali ambao ni Mamba na Viboko wanaodaiwa kusombwa na maji yaliyotokea kwenye mito kuelekea Baharini kutokana na Mvua kubwa  zilizosababisha mafuriko maeneo mbalimbali Nchini. Mhifadhi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania – TAWA, Kanda maalum ya Dar es Salaam,… Continue reading MAMBA NA KIBOKO WALIOLETWA NA MAFURIKO TISHIO DAR

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner