TAARIFA YA PACOME ZOUZOUA KWA SASA

MICHEZO Kiungo wa klabu ya Yanga, Pacome Zouzoua ambaye alipata majeraha na kushindwa kuendelea na mchezo dhidi ya Azam FC ameitwa kwenye kikosi cha timu ya Taifa ya Ivory Coast kinachotarajiwa kucheza mechi za kirafiki. Taarifa ya Shirikisho la Mpira lvory Coast imebainisha kuwa Pacome anachukua nafasi ya lbrahim Sangare anayekipiga Nottingham Forest ya Ligi… Continue reading TAARIFA YA PACOME ZOUZOUA KWA SASA

KLOPP KUONDOKA LIVERPOOL

MICHEZO Jurgen Klopp ametangaza kuwa ataondoka Liverpool mwishoni mwa msimu huu wa 2023-24, baada ya kumaliza muda wake wa miaka tisa katika klabu hiyo. Habari hizo zimeshtua sana wadau wa soka Duniani kutokana na mkataba wake kumalizika mwaka 2026 ,lakini amekiri kwamba ataachana na majukumu yake hayo kwa kile alichosema “anakosa nguvu “. Klopp mwenye… Continue reading KLOPP KUONDOKA LIVERPOOL

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner