MFAHAMU MSHAMBULIAJI MPYA WA AZAM JHONIER BLANCO

Klabu ya Azam FC imethibitisha kukamilisha usajili wa Mshambuliaji kutoka nchini Colombia Jhonier Blanco, ambaye rasmi ataanza kuonekana kikosini msimu ujao wa Ligi Kuu, Kombe la Shirikisho Tanzania Bara na Michuano ya Kimataifa. Azam FC imeanza mapema usajili wa wachgezaji wake Kimataifa, ikiwa ni sehemu ya maandalizi yao kuelekea msimu ujao 2024/25, ambao unatabiriwa kuwa… Continue reading MFAHAMU MSHAMBULIAJI MPYA WA AZAM JHONIER BLANCO

WHAT INSPIRES FAITHFULNESS IN MARRIAGE

LOVE ❤ 1. VISIONVision gives one a reason to stay committed. When you have a vision of the kind of marriage you want to have and the kind of spouse you are working to become, you stay true even when it gets tough 2. FEARWhen you value what you have with your spouse and all… Continue reading WHAT INSPIRES FAITHFULNESS IN MARRIAGE

NDOTO YA KOCHA SVEN-GORAN ERIKSSON YATIMIA AKIWA NA MIAKA 76

NYOTA WETU Meneja wa zamani wa timu ya Taifa ya England Sven-Goran Eriksson (76) alitokwa na machozi jana alipofanikiwa kutimiza ndoto yake kuu ya kabla ya kifo. Januari mwaka jana Kocha huyo mkongwe alitangaza kusumbuliwa na ugonjwa wa saratani ambao uko kwenye hatua za mwisho na hivyo siku zake za kuishi si nyingi. Katika mahojiano… Continue reading NDOTO YA KOCHA SVEN-GORAN ERIKSSON YATIMIA AKIWA NA MIAKA 76

DARWIN NUNEZ AJIONDOA URUGUAY KISA HIKI

MICHEZO Mshambuliaji wa Liverpool, Darwin Nunez, amejiondoa kwenye kikosi cha Uruguay kwa ajili ya mechi zao za kimataifa za Machi kutokana na jeraha. Nunez alipata jeraha la msuli wa paja wakati Wekunduư hao wakichapwa mabao 4-3 na Manchester United kwenye Robo Fainali ya Kombe la FA Jumapili (Machi 17). Alikamilisha dakika 120 kamili baada ya… Continue reading DARWIN NUNEZ AJIONDOA URUGUAY KISA HIKI

MANCHESTER UNITED YAICHAPA LIVERPOOL IKITINGA NUSU FAINALI YA FA

MICHEZO Manchester United imetinga nusu fainali ya kombe la FA England kufuatia ushindi wa 4-3 dhidi ya Liverpool katika dimba la Old Trafford kwenye robo fainali. FT: MAN UTD 2-2 LIVERPOOL (ET 4-3)⚽ McTominay 10′⚽ Antony 87′⚽ Rashford 112′⚽ Amad 120+2′⚽ Mac Allister 44′⚽ Salah 45+2′⚽ Elliott 105′ United imeungana na Manchester City, Chelsea na… Continue reading MANCHESTER UNITED YAICHAPA LIVERPOOL IKITINGA NUSU FAINALI YA FA

Kocha Mkuu wa Liverpool, Jurgen Klopp amekanusha madai kwamba Mkurugenzi Mkuu Mtendaji mpya wa klabu hiyo, Michael Edwards amemuomba kubaki kwenye klabu hiyo.

Fenway Sports Group inayoimiliki klabu ya Liverpool imetangaza kumrejesha Edwards kama Mkurugenzi Mtendaji mpya wa klabu hiyo. Edwards alipata mafanikio makubwa akiwa na Liverpool kwenye historia ya klabu hiyo, akifanya kazi sambamba na Klopp kutengeneza kikosi kilichoshinda ubingwa wa Ligi Kuu ya England na Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya. Kiongozi huyo aliondoka Liverpool mwaka 2022,… Continue reading Kocha Mkuu wa Liverpool, Jurgen Klopp amekanusha madai kwamba Mkurugenzi Mkuu Mtendaji mpya wa klabu hiyo, Michael Edwards amemuomba kubaki kwenye klabu hiyo.

Wakati watu wengi nje ya Liverpool wakimuona kama ni mbinafsi na anajiangalia yeye tu, mshambuliaji wa timu hiyo Mohamed Salah amewaziba mdomo waliodhania tofauti.

Salah amekuwa na mchango mkubwa kwa Liverpool tangu ajiunge nayo mwaka 2017 akiisaidia kushinda Ligi Kuu, Ligi ya Mabingwa, Carabao na FA Cup. Msimu huu Liverpool inashiriki michuano ya Europa ikiwa ni baada ya kushindwa kufuzu Ligi ya Mabingwa msimu uliopita na mara nyingi kwenye michuano hii wameonekana kutumia wachezaji vijana kutoka kwenye akademni yao.… Continue reading Wakati watu wengi nje ya Liverpool wakimuona kama ni mbinafsi na anajiangalia yeye tu, mshambuliaji wa timu hiyo Mohamed Salah amewaziba mdomo waliodhania tofauti.

CODY GAKPO ASIMULIA FURAHA YAKE KUWA NDANI YA LIVERPOOL

MICHEZO Mshambuliaji kutoka nchini Uholanzi Cody Gakpo amefichua kuwa alifanya mazungumzo na Manchester United kuhusu uhamisho wa msimu wa majira ya joto wa 2022, lakini kuhamia kwake Liverpool msimu wa baridi mwaka uliofuata kwa kusema ulikuwa uamuzi bora kwake. Mshambuliaji huyo mwenye uwezo mwingi alifurahia miaka mitano katika kikosi cha kwanza cha PSV Eindhoven kabla… Continue reading CODY GAKPO ASIMULIA FURAHA YAKE KUWA NDANI YA LIVERPOOL

LIVERPOOL MABINGWA WA CARABAO

MICHEZO Liverpool wamefanikiwa kutwaa taji la Carabao baada ya kuizaba Chelsea 1-0 kwa bao la dakika za lala salama kwenye muda wa dakika 30 za ziada. Nahodha Virgil Van Dijk ndiye aliyepeleka kilio kwa The Blues katika dakika 118 ya mchezo huo. Taji hilo ni sawa na zawadi kwa kocha mkuu wa Liverpool Jurgen Klopp… Continue reading LIVERPOOL MABINGWA WA CARABAO

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner