MANCHESTER CITY YAICHAPA MANCHESTER UNITED

MICHEZO Manchester City wameitembezea kichapo cha 3-1 majirani zao wa Manchester United kwenye mchezo wa ‘Derby’ ya Manchester kwenye ligi kuu ya kandanda nchini England. Ushindi huo umeifanya City kuendeleza mbio zao za kuwania taji la ligi hiyo wakifikisha alama 62 baada ya michezo 27 wakiwa alama moja nyuma ya vinara Liverpool.

MANCHESTER CITY YAICHAPA MANCHESTER UNITED

MICHEZO Manchester City wameitembezea kichapo cha 3-1 majirani zao wa Manchester United kwenye mchezo wa ‘Derby’ ya Manchester kwenye ligi kuu ya kandanda nchini England. Ushindi huo umeifanya City kuendeleza mbio zao za kuwania taji la ligi hiyo wakifikisha alama 62 baada ya michezo 27 wakiwa alama moja nyuma ya vinara Liverpool.

MANCHESTER CITY YAICHAPA MANCHESTER UNITED

MICHEZO Manchester City wameitembezea kichapo cha 3-1 majirani zao wa Manchester United kwenye mchezo wa ‘Derby’ ya Manchester kwenye ligi kuu ya kandanda nchini England. Ushindi huo umeifanya City kuendeleza mbio zao za kuwania taji la ligi hiyo wakifikisha alama 62 baada ya michezo 27 wakiwa alama moja nyuma ya vinara Liverpool.

MANCHESTER UNITED YAWEKA WACHEZAJI WAKE SOKONI

MICHEZO Manchester United wako tayari kuwauza wachezaji watatu ,Raphael Varane, Henrique Casemiro na Jadon Sancho ,mwezi January. Mpango wa kocha Eric Ten Hag ni kupunguza idadi ya wachezaji ambao umeambatana na ripoti zinazodai kuwa kocha huyo amekosa maelewano na baadhi ya wachezaji kwenye vyumba vya kubadilisha nguo. Hata hivyo, kocha Eric Ten Hag amekanusha vikali… Continue reading MANCHESTER UNITED YAWEKA WACHEZAJI WAKE SOKONI

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner