WHY YOU ARE FRUSTRATING IN MARRIAGE

IF YOU ARE NOT READY TO BE PATIENT, MARRIAGE WILL FRUSTRATE YOU

MICHAEL OLISE KWENYE RADA ZA MANCHESTER UNITED

MICHEZO Klabu ya Manchester United imewekeza nguvu kubwa zaidi kwenye mchakato wa kuipata saini ya winga wa Crystal Palace na Ufaransa, Michael Olise, kuelekea dirisha lijalo la majira ya kiangazi. Awali, Man United ilikuwa ikitaka kumsajili mshambuliaji wa PSV, Johan Bakayoko, lakini inaonekana kuna vita kubwa kutoka kwa Liverpool na Manchester City’ ambazo pia zinataka… Continue reading MICHAEL OLISE KWENYE RADA ZA MANCHESTER UNITED

MANCHESTER HAINA MPANGO NA SOFYAN AMRABAT

MICHEZO Klabu za AC Milan na Juventus zinaangalia uwezekano wa kumsajili kiungo wa Fiorentina na Morocco, Sofyan Amrabat ambaye kwa sasa anaichezea Manchester United kwa mkopo. Hadi sasa Man United haijaonyesha nia ya kutaka kumsainisha mkataba wa kudumu Amrabat aliyejiunga nao katika dirisha lililopita la majira ya baridi. Amrabat alijiunga na Man United kwa mkopo… Continue reading MANCHESTER HAINA MPANGO NA SOFYAN AMRABAT

SABABU ROBINHO KUFUNGWA MIAKA 9

NYOTA WETU Ripoti zinasema kuwa mchezaji kandanda wa zamani Robinho alikamatwa huko Santos, Brazil, baada ya Mahakama ya juu kukataa ombi lake la kuachiliwa Alhamisi ili kutumikia kifungo chake cha miaka tisa jela ambapo alihukumiwa nchini Italia kwa ubakaji. Mawakili wa Robinho walikuwa wamekata rufaa katika Mahakama ya juu ya shirikisho (STF) siku ya Jumatano… Continue reading SABABU ROBINHO KUFUNGWA MIAKA 9

MANCHESTER UNITED YAWEKA REKODI YA KUWA KIKOSI GHALI ZAIDI DUNIANI

MICHEZO Ripoti ya UEFA imesema kikosi cha Manchester United cha mwaka jana ndio cha gharama zaidi kuwahi kuundwa katika soka. Taarifa ya taswira ya fedha na uwekezaji ya vilabu vya Ulaya imesema wachezaji wa Manchester United mwishoni mwa mwaka wa fedha 2023 waligharimu paundi bilioni 1.21 ,kwa kuchanganya na fedha za ada ya uamisho. Mwaka… Continue reading MANCHESTER UNITED YAWEKA REKODI YA KUWA KIKOSI GHALI ZAIDI DUNIANI

ORODHA YA WACHEZAJI WA MANCHESTER WATAKAOIKOSA LIVERPOOL

MICHEZO Wachezaji 13 wa Manchester United wapo kwenye hatari ya kutokucheza mechi kati yao na Liverpool mnamo Desemba 17,2023 huku sababu zikieleza kuwa ni majeraha. Kocha wa Manchester United, Eric Ten Hag atakabiliwa na mtihani mgumu wa kuivaa Liverpool kwenye mechi ya Ligi kuu ya England itakayochezwa kwenye dimba la Anfiled ambapo kwasasa ni kuwa… Continue reading ORODHA YA WACHEZAJI WA MANCHESTER WATAKAOIKOSA LIVERPOOL

MAHESABU MAKALI YA MANCHESTER UNITED KUTINGA 16 BORA

MICHEZO Kwenye mechi ya jana ya UEFA Champions League, Bruno Fernández aligusa mpira mara 60 na kutoa pasi tatu muhimu pamoja na pasi nne ndefu ,pia alishinda mipira 5 ya kugombania na kufanya tackling 3. Rekodi nzuri kwa nahodha huyo lakini bado nafasi ya Manchester United ipo ya kutinga 16 bora itategemea na matokeo ya… Continue reading MAHESABU MAKALI YA MANCHESTER UNITED KUTINGA 16 BORA

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner