JE KUONEANA WIVU NI SEHEMU YA MAPENZI?

Makala Fupi Mapenzi yananoga wivu unapokuwa ndani yake. Ukitathimini kwa harakaharaka ,unaweza kusema kama hakuna wivu ,hakuna mapenzi. Inapotokea mpenzi wako, hata ufanye nini hakuonei wivu,bila Shaka hata wewe utahisi kuna tatizo. Unatamani kale “kawivu” kidogo ili ujisikie unapendwa. Maana,tafsiri nyingine ya mtu asiyekuwa na wivu,huwa ni ile ya “wewe fanya yako, na mimi nifanye… Continue reading JE KUONEANA WIVU NI SEHEMU YA MAPENZI?

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner