SABABU MARIOO KUFUNGULIWA KESI

NYOTA WETU Msanii Toto Bad maarufu kama @marioo_tz amefunguliwa kesi na Kampuni ya Kismaty kwa madai ya kuvunja mkataba wa kutumbuiza kwa kutoonekana kwenye hafla ya Mr & Miss Vyuo Vikuu Kanda ya Kaskazini. Kulingana na madai yaliyowasilishwa katika Mahakama Kuu ya Wilaya ya Arusha, Marioo na Meneja wake Sweetbert Mwinula, wanakabiliwa na tuhuma hizo… Continue reading SABABU MARIOO KUFUNGULIWA KESI

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner