WATU WANNE WAKAMATWA SAKATA LA UTEKAJI

MICHEZO Watu wanne wameripotiwa kukamatwa baada ya sakata la Wazazi wa Mshambuliaji wa Liverpool Luis Diaz kutekwa. Watu hao wanashtakiwa kwa kuteka na kuiba ,na wanatarajiwa kupelekwa Mahakamani leo katika mji mmoja ujulikanao kama Riohacha uliopo Kaskazini mwa Colombia. Mmoja wa watu hao aliyetambulika kama Yerdinson Bolivar anatajwa kuwahi kuwa kocha Kwenye shule ya soka… Continue reading WATU WANNE WAKAMATWA SAKATA LA UTEKAJI

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner