MICHEZO Timu ya Simba ipo kwenye vilabu 12 vitakavyofuzu kushiriki michuano ya kombe la Dunia la vilabu. Orodha ya vilabu imetangazwa jana Desemba 24,2023 huku Simba ikibebwa na wingi wa pointi ilizozikusanya katika ushiriki wa mashindano ya mara kwa mara na mpaka sasa nafasi iliopo kwenye michuano ya sasa ya CAF. ORODHA YA TIMU 12… Continue reading SIMBA KUCHEZA KOMBE LA DUNIA