NYOTA NJEMA ILIVYOZIMA YA MOHBAD

NYOTA WETU Mwaka 2020 kijana Ilerioluwa Oladinaji Aloba alijiunga na Marlian Music ambayo inamilikiwa na mwanamziki Naira Marley, baadae miaka miwili Mohbad alijiondoa kwenye hiyo record lebel huku ikitajwa mahusiano mabovu na bosi wake. Mohbad ambaye alizaliwa Juni 8,1996 na kufa kwa kifo cha kushitukiza Septemba 12,2023 alizikonga nyota za mashabiki baada ya kutoa EP… Continue reading NYOTA NJEMA ILIVYOZIMA YA MOHBAD

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner