ISLAMIC STATE YAHUSIKA KWENYE VIFO VYA WATU 115 URUSI

HABARI KUU Idadi ya watu waliokufa kwenye shambulizi la la silaha lililodaiwa kufanywa na wapiganaji wa Islamic State, lililotokea usiku wa kuamkia leo Machi 23, 2024 nchini Urusi, imefikia watu 115 wakiwemo watoto watatu, huku wengine zaidi ya 139 wakijeruhiwa. Inadaiwa kuwa washambuliaji waliingia kwenye Ukumbi wa Crocus uliopo Krasnogorsk kaskazini-magharibi mwa jiji la Moscow,… Continue reading ISLAMIC STATE YAHUSIKA KWENYE VIFO VYA WATU 115 URUSI

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner