SABABU YA MKE WA BILIONEA MSUYA KUACHIWA HURU

HABARI KUU Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam imemuacha huru Mke wa Marehemu Bilionea Erasto Msuya, Miriam Mrita na Mfanyabiashara Revocatus Everist baada ya upande wa mashitaka kushindwa kuthibitisha makosa dhidi yao. Wawili hao walifikishwa Mahakamani kwa mara ya kwanza February 23 ya mwaka 2017 wakikabiliwa na kesi ya jinai namba 103… Continue reading SABABU YA MKE WA BILIONEA MSUYA KUACHIWA HURU

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner