HABARI KUU Waendesha mashtaka nchini Afrika Kusini wamesema wanayo nia ya kumshtaki Spika wa Bunge Bi.Nosiviwe Mapisa-Nqakula kwa makosa ya rushwa. Wiki iliyopita, nyumba ya Spika huyo iliyopo jijini Johannesburg ilivamiwa na maafisa wa usalama kwa ajili ya upekuzi ambapo ushahidi ulikamatwa. Waendesha Mashtaka wameeleza kuwa Mapisa-Nqakula (67) alipokea malipo 11 yakiwa na jumla ya… Continue reading SPIKA NOSIVIWE MAPISA NQAKULA KUSHTAKIWA KWA RUSHWA