Mmiliki tajiri wa vyombo vya habari duniani, Rupert Murdoch amevuta jiko kwa mara ya kwa mara ya tano katika sherehe iliyofanyika katika shamba lake la mizabibu huko California.

Murdoch mwenye umri wa miaka 93 amefunga ndoa hiyo jana Jumamosi na mkewe mpya Elena Zhukova mwenye umri wa miaka 67 ambaye ni mwanabiolojia mstaafu wa Urusi. Kwa mujibu wa…

Continue ReadingMmiliki tajiri wa vyombo vya habari duniani, Rupert Murdoch amevuta jiko kwa mara ya kwa mara ya tano katika sherehe iliyofanyika katika shamba lake la mizabibu huko California.

Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan na Rais Yoon Suk Yeol wa Jamhuri ya Korea wameshuhudia utiaji saini wa mkataba mmoja, hati za makubaliano (MOU) 2 na tamko la pamoja la kuanzisha Mkataba wa Ushirikiano wa Uchumi (EPA).

Mkataba huu utaiwezesha Tanzania kupokea mkopo kutoka Korea wa kiasi cha Dola za Kimarekani Bilioni 2.5 kwa kipindi cha miaka mitano kuanzia (2024- 2028) kwa ajili ya miradi ya miundombinu…

Continue ReadingRais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan na Rais Yoon Suk Yeol wa Jamhuri ya Korea wameshuhudia utiaji saini wa mkataba mmoja, hati za makubaliano (MOU) 2 na tamko la pamoja la kuanzisha Mkataba wa Ushirikiano wa Uchumi (EPA).

Kiongozi wa upinzani Nchini Israel Yair Lapid ametoa wito kwa Waziri Mkuu wa taifa hilo Benjamin Netanyahu, kuzingatia mpango uliotangazwa na rais wa Marekani Joe Biden wa kusitisha mapigano Gaza.

Lapid ametoa pendekezo la kuiunga mkono serikali iwapo washirika wa serikali ya Netanyahu wataukataa mpango huo uliotangazwa na Biden. Familia za mateka wa Israel wanaoshikiliwa na Hamas wametaka pande zote…

Continue ReadingKiongozi wa upinzani Nchini Israel Yair Lapid ametoa wito kwa Waziri Mkuu wa taifa hilo Benjamin Netanyahu, kuzingatia mpango uliotangazwa na rais wa Marekani Joe Biden wa kusitisha mapigano Gaza.

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesisitiza kuwa hakutakuwa na usitishaji vita ya kudumu huko Gaza hadi pale uwezo wa kijeshi na uongozi wa Hamas utakapoangamizwa na mateka wote waachiliwe.

Kauli yake inafuatia baada ya Rais wa Marekani Joe Biden kutangaza kuwa Israel imependekeza mpango wa hatua tatu kwa Hamas unaolenga kufikia usitishaji vita ya kudumu. Mwanasiasa mkuu wa Hamas…

Continue ReadingWaziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesisitiza kuwa hakutakuwa na usitishaji vita ya kudumu huko Gaza hadi pale uwezo wa kijeshi na uongozi wa Hamas utakapoangamizwa na mateka wote waachiliwe.