Chelsea set to receive €2.4bn upgrade ahead of summer transfer window amid decision on new Manager

Chelsea, valued at $3.1 billion by Forbes, remains financially strong under Clearlake Capital's ownership, despite spending over £1 billion on players recently. Concerns over profitability led to no signings in…

Continue ReadingChelsea set to receive €2.4bn upgrade ahead of summer transfer window amid decision on new Manager

Rais wa Kenya William Ruto, anayetamatiza ziara yake ya siku nne nchini Marekani, amesema, yeye ndiye aliyeamua polisi wa nchi yake kwenda nchini Haiti, na wala sio Marekani.

Ruto ameitoa kauli hii mbele ya rais Biden, kujibu madai kuwa Kenya, imesukumwa na Marekani kuwapeleka polisi wake zaidi ya Elfu 1 kusaidia kurejesha utulivu jijini Port au Prince. Kutumwa…

Continue ReadingRais wa Kenya William Ruto, anayetamatiza ziara yake ya siku nne nchini Marekani, amesema, yeye ndiye aliyeamua polisi wa nchi yake kwenda nchini Haiti, na wala sio Marekani.

Hatimaye Rais wa Klabu ya FC Barcelona Joan Laporta amemfuta kazi kocha mkuu wa klabu hiyo Xavi Hernandez

Xavi ametimuliwa klabuni hapo wiki chache tu baada ya kushawishiwa kubadili uamuzi wake wa kujiuzulu kuifundisha timu hiyo alioutangaza katikati ya msimu Meneja wa zamani wa Bayer Munich na timu…

Continue ReadingHatimaye Rais wa Klabu ya FC Barcelona Joan Laporta amemfuta kazi kocha mkuu wa klabu hiyo Xavi Hernandez

Uongozi wa Mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara Young Africans, umesema unapambana kumshawishi Kiungo kutoka nchini Burkina Faso Stephanie Aziz Ki, ili asaini mkataba mpya wa kuendelea kuitumikia klabu hiyo.

Taarifa zilizopatikana jijini, Dar es Salaam zinasema Young Africans imefanya mazungumzo na nyota huyo lakini ameshindwa kukubali kusaini mkataba mpya kutokana na ofa mbalimbali alizonazo. Taarifa hizo zimeelendea kueleza kuwa…

Continue ReadingUongozi wa Mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara Young Africans, umesema unapambana kumshawishi Kiungo kutoka nchini Burkina Faso Stephanie Aziz Ki, ili asaini mkataba mpya wa kuendelea kuitumikia klabu hiyo.