Spyro expresses admiration for Nengi,recounts their first encounter

CELEBRITIES Nigerian singer, Spyro opens up about his deep admiration for reality TV star Nengi and shares his reaction upon seeing her for the first time. In an Instagram post, the singer reminisced about an interviewer asking which female industry figure he would avoid being alone with. He mentioned Nengi, humorously adding that he tries… Continue reading Spyro expresses admiration for Nengi,recounts their first encounter

Mr Macaroni sparks speculation about tying the knot following a picture posted alongside an endowed lady

CELEBRITIES Mr. Macaroni, a well-known Nigerian Skit-maker whose real name is Debo Adedayo, has sparked a significant online buzz with a recent photograph featuring him alongside a remarkably endowed lady. Yesterday, on May 19th, 2024, Mr Macaroni caused quite a stir on various social media platforms as he ignited speculations about his marital status. The… Continue reading Mr Macaroni sparks speculation about tying the knot following a picture posted alongside an endowed lady

How to lock your pussy during sex

LOVE TIPS ❤ SEX EDUCATION TOPIC: PUSSY LOCKING!! What is pussy locking? Don’t think pussy locking is when you close your vagina . Pussy locking is the ability to make your pussy hold hubby’s penis tight during sex…. Pussy locking is the process of drawing your pussy in internally, while your husband dick is inside… Continue reading How to lock your pussy during sex

Mwili wa Ebrahim Raisi wapatikana

BREAKING NEWS Mwili wa aliyekuwa Rais wa Iran, Ebrahim Raisi umepatikana pamoja na wa Waziri wa Mambo ya Nje Hossein Amir-Abdollahian na maofisa wengine waliofariki katika ajali ya Helikopta Mei 19, 2024. Nchi hiyo imeshatangaza kifo cha Ibrahim Raisi, aliyefariki usiku wa kuamkia leo katika ajali iliyotokea Kaskazini-Magharibi mwa nchi hiyo. Miili hiyo imepatikana kwenye… Continue reading Mwili wa Ebrahim Raisi wapatikana

Muhammad Mukhbar Rais mpya wa Iran

HABARI KUU Kiongozi wa ngazi ya juu nchini Iran, Ayatollah Ali Khamenei, amemteua Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran, Muhammad Mukhbar kuwa rais kufuatia kifo cha Ibrahim Raisi katika ajali ya Helikopta hapo jana Mei 19, 2024. Kwa mujibu wa katiba ya Iran, makamu wa kwanza wa rais atachukua wadhifa huo iwapo rais atafariki,… Continue reading Muhammad Mukhbar Rais mpya wa Iran

Kitisho cha Ziwa VICTORIA kuumeza Mkoa Kagera

HABARI KUU Mkazi wa Manispaa ya Bukoba Mzee Pius Ngeze (70), amesema anahofia balaa kubwa kutokea katika Mkoa huo kumezwa na ziwa Victoria, kutokana na kukosekana kwa mikakati mahsusi wala uchunguzi, ili kubaini kwanini Tetemeko, Mafuriko na majanga mengine yanatokea mara kwa mara na kusababisha athari kwenye jamii. Ngeze ambaye pia ni mmoja wa Wazee… Continue reading Kitisho cha Ziwa VICTORIA kuumeza Mkoa Kagera

Muhammad Mukhbar Rais wa mpito Iran

NYOTA WETU Makamu wa Rais wa Iran, Muhammad Mukhbar anajiandaa kuiongoza Iran ndani ya kipindi cha mpito, ambapo kwa sasa anasubiri kuthibitishwa na Kiongozi Mkuu wa Taifa hilo Ayatollah Ali Khamenei. Mukhbar anachukua jukumu hilo kufuatia kifo cha Rais Ebrahim Raisi wa Iran kilichotokea baada ya helikopta iliyombeba kuanguka katika eneo la Kaskazini Magharibi mwa… Continue reading Muhammad Mukhbar Rais wa mpito Iran

Israel ilivyohusika kwenye kifo cha Rais wa Iran Ibrahim Raisi

HABARI KUU Rais wa Iran Ibrahim Raisi (63), Waziri wa Mambo ya Nje wa Nchi hiyo, Amir Abdollahian na Maafisa wengine saba waliokuwamo kwenye msafara wamepatikana wakiwa wamefariki katika eneo la ajali ya Helikopta iliyoanguka katika eneo la Jolfa, lililopo zaidi ya kilomita 600 kutoka Tehran karibu na mpaka wa jimbo la kaskazini-magharibi mwa Azerbaijan… Continue reading Israel ilivyohusika kwenye kifo cha Rais wa Iran Ibrahim Raisi

Mbwana Samatta aisaidia PAOK kubeba Ubingwa

MICHEZO Nahodha wa kikosi cha Timu ya Taifa Tanzania (Taifa Stars) Mbwana Samatta ameisaidia klabu yake ya PAOK ya nchini Ugiriki kushinda kikombe cha ligi soka nchini humo yaani Super League. PAOK wamekuwa mabingwa wa ligi hiyo baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Aris walipokuwa ugenini, huku Samatta akiingia katika pambano… Continue reading Mbwana Samatta aisaidia PAOK kubeba Ubingwa

Talaka ilivyotaka kuua kipaji cha nyota Michael Antonio

NYOTA WETU Nyota wa Ligi Kuu England, Michael Antonio amefunguka na kufichua kwamba alipatwa na tatizo la akili, ambalo lilimfanya atamani kuumia ili tu asicheze mpira. Mshambuliaji huyo wa West Ham United aliandamwa na tatizo hilo la akili lililosababishwa na mambo ya ndani na nje ya uwanja kitu kilichomfanya achukue soka..Antonio, 34, anafichua, wakati anajitafuta… Continue reading Talaka ilivyotaka kuua kipaji cha nyota Michael Antonio

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner