MAKALA VYUO 20 BORA NCHINI TANZANIA
Tag: #PMMAJALIWA #WAZIRIMKUU #SIASA #MARA #SAMIA
Mamlaka ya Hali ya Hewa Nchini – TMA, imetoa angalizo kwa wakazi wanaoishi ukanda wa Pwani wa Bahari ya Hindi ukiwemo Mkoa wa Dar es Salaam, kwamba kuna uwezekano wa kukutana na hali mbaya ya hewa kwa siku tano na Mvua za siku tatu mfululizo.
Kupitia utabiri wake wa hali ya hewa, TMA imeeleza kuwa, maeneo mengine yanatakayokumbwa na hali hiyo ni mikoa ya Tanga, Pwani (ikijumuisha visiwa vya Mafia), Lindi, Mtwara pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba. TMA imeeleza kuwa, hali hiyo itakayosababisha mvua kubwa itaendelea hadi Machi 21, 2024 huku ikisema, “zingatieni na jiandaeni. Athari zinazoweza kujitokeza… Continue reading Mamlaka ya Hali ya Hewa Nchini – TMA, imetoa angalizo kwa wakazi wanaoishi ukanda wa Pwani wa Bahari ya Hindi ukiwemo Mkoa wa Dar es Salaam, kwamba kuna uwezekano wa kukutana na hali mbaya ya hewa kwa siku tano na Mvua za siku tatu mfululizo.
MNADA WA HOROHORO KUIFUNGUA TANZANIA
HABARI KUU Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega amesema katika kipindi cha miaka mitatu ya Uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan jumla ya minada ya kisasa 51 imejengwa nchi nzima, ikiwa na thamani ya Shilingi Bilioni 17.5. Ulega ameyasema hayo katika ziara ya Kamati ya Kudumu ya… Continue reading MNADA WA HOROHORO KUIFUNGUA TANZANIA
FEISAL SALUM “FEI TOTO” APELEKA KILIO YANGA
MICHEZO Kiungo Feisal Salum Fei Toto amepeleka kilio Jangwani kwa kufunga bao la ushindi kwa Azam FC waliotundika Yanga SC 2-1 kwenye muendelezo wa ligi kuu soka ya NBC Tanzania Bara. Hiki ni kipigo cha pili kwa Yanga SC kwenye ligi kuu msimu huu wakisaliwa na alama 52 baada ya michezo 20 huku Azam FC… Continue reading FEISAL SALUM “FEI TOTO” APELEKA KILIO YANGA
FEISAL SALUM “FEI TOTO” APELEKA KILIO YANGA
MICHEZO Kiungo Feisal Salum Fei Toto amepeleka kilio Jangwani kwa kufunga bao la ushindi kwa Azam FC waliotundika Yanga SC 2-1 kwenye muendelezo wa ligi kuu soka ya NBC Tanzania Bara. Hiki ni kipigo cha pili kwa Yanga SC kwenye ligi kuu msimu huu wakisaliwa na alama 52 baada ya michezo 20 huku Azam FC… Continue reading FEISAL SALUM “FEI TOTO” APELEKA KILIO YANGA
FEISAL SALUM “FEI TOTO” APELEKA KILIO YANGA
MICHEZO Kiungo Feisal Salum Fei Toto amepeleka kilio Jangwani kwa kufunga bao la ushindi kwa Azam FC waliotundika Yanga SC 2-1 kwenye muendelezo wa ligi kuu soka ya NBC Tanzania Bara. Hiki ni kipigo cha pili kwa Yanga SC kwenye ligi kuu msimu huu wakisaliwa na alama 52 baada ya michezo 20 huku Azam FC… Continue reading FEISAL SALUM “FEI TOTO” APELEKA KILIO YANGA
UKWELI KUHUSU UJENZI WA BARABARA MKOA WA MARA
MAKALA Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) imekamilisha miradi mitatu ya ujenzi wa barabara zenye jumla ya kilomita 111.4 mkoani Mara. Miradi hiyo ni ujenzi kwa kiwango cha lami Barabara ya Nyamuswa – Bunda-Bulamba (km 56.4), Makutano Juu- Sanzante (km 50) pamoja na barabara… Continue reading UKWELI KUHUSU UJENZI WA BARABARA MKOA WA MARA
JENERALI VENANCE MABEYO ASIMULIA MAGUFULI ALICHOMWAMBIA KABLA YA UMAUTI
NYOTA WETU Mkuu wa Majeshi Mstaafu Jenerali Venance Mabeyo amesema siku moja kabla ya kifo cha Hayati John J. Magufuli, alimwita na kumwambia anajua hawezi kupona na hivyo awaagize Madaktari wamrudishe nyumbani kwake. Mabeyo amesema “Aliniita CDF njoo, siwezi kupona, waamuru hawa Madaktari wanirudishe nyumbani. Nikamjibu Mheshimiwa sina Mamlaka hayo, suala la Afya sio la… Continue reading JENERALI VENANCE MABEYO ASIMULIA MAGUFULI ALICHOMWAMBIA KABLA YA UMAUTI