Tag: #princeDube
TIMU ZINAZOWANIA KUMNASA PRINCE DUBE
SABABU YA PRINCE DUBE KUOMBA KUONDOKA AZAM FC
MICHEZO Klabu ya Azam FC imethibitisha kupokea barua kutoka kwa mshambuliaji Prince Dube akiomba kuvunja mkataba wa kuwatumikia Waoka Mikate hao ambao amewatumikia tangu mwaka 2020. Mkataba wa nyota huyo raia wa Zimbabwe aliosaini mwaka 2023 utamuweka klabuni hapo mpaka 2026. Hivyo sasa amebakisha miaka miwili na nusu mkataba wake kufikia ukomo. Azam FC imemjibu… Continue reading SABABU YA PRINCE DUBE KUOMBA KUONDOKA AZAM FC