AUWA MKE WAKE KISA MALI

HABARI KUU Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani limethibitisha kutokea kifo cha Doto Hamisi Magambazi (30) mkazi wa Mjimwema Kiluvya mkoani humo aliyefariki dunia baada ya kushambuliwa kwa kukatwa na panga sehemu mbalimbali za mwili wake na mtu anayedaiwa kuwa mume wake wa zamani, Mbaraka Haruna (42) na kisha kujinyonga. Jeshi la Polisi limesema Haruna… Continue reading AUWA MKE WAKE KISA MALI

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner