RAMADHAN WASSO AFARIKI DUNIA

NYOTA WETU Nyota wa zamani wa Simba na Yanga Ramadhan Wasso amefariki dunia leo nchini Burundi. Wasso raia wa Burundi ambaye usajili wake wa kutoka Simba kwenda Yanga ulitikisa sana mwanzoni wa mwaka 2000 atakumbukwa kwa ustadi mkubwa wa kumudu kucheza kama Mlinzi wa kushoto na mwenye uwezo mkubwa wa kupanda na kusaidia mashambulizi. Taarifa… Continue reading RAMADHAN WASSO AFARIKI DUNIA

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner