TFF YATOA UFAFANUZI SABABU ZA MBWANA SAMATTA KUTOITWA TAIFA STARS

MICHEZO Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limesema Nahodha wa Timu ya Taifa Mbwana Samatta hajaitwa kwenye kikosi cha Taifa Stars kwa sababu alimuomba Kocha Hemed Suleiman asimjumuishwe kwenye kikosi hiko kuelekea michezo ya FIFA Series. “Nahodha wa Timu ya Taifa Taifa Stars, Mbwana Samatta ameomba kutojumuishwa kwenye kikosi kilichoitwa kwa michezo ya FIFA… Continue reading TFF YATOA UFAFANUZI SABABU ZA MBWANA SAMATTA KUTOITWA TAIFA STARS

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner