Tag: ser#Hungary #KatalinNovak #habari #news
ISRAEL YAKIUKA OMBI LA UNSC
Jeshi Israel linaendelea na mashambulizi yake dhidi ya Rafah, likipuuzia rasimu ya azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UNSC) linalohusikia kusitisha mauaji katika mji huo ulioko Kusini mwa Gaza. Mashambulizi mapya ya Anga yaliripotiwa katika mji wa Kusini jana Jumatano saa chache baada ya mashahidi na chanzo cha usalama cha Palestina kusema… Continue reading ISRAEL YAKIUKA OMBI LA UNSC
MAGAZETI YA LEO 30 MEI 2024
MIKE TYSON AKIRI KWASASA YUKO VIZURI BAADA YA KUUGUA
Mwana-Masumbwi mkongwe Mike Tyson (58), ameripotiwa kuugua juzi akiwa kwenye Ndege akitokea Miami kuelekea jijini Los Angeles. Kwa mujibu wa msemaji wake, bingwa huyo wa zamani wa ndondi alianza kujisikia vibaya takribani dakika 30 kabla ya kutua. Mara tu baada ya kutua alipokelewa na timu ya wauguzi na kwa sasa hali yake inaendelea vizuri. Mwaka… Continue reading MIKE TYSON AKIRI KWASASA YUKO VIZURI BAADA YA KUUGUA
Rais Jakaya Kikwete kinara wa kutafuta fedha za uwekezaji kwenye Elimu
Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete kwa nafasi yake ya Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Ubia wa Elimu Duniani (GPE) ameshiriki Mkutano wa Mwaka 2024 wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB 2024 Annual Meeting) unaofanyika jijini Nairobi, Kenya tarehe 26 – 28 Mei, 2024. Ametumia fursa ya kushiriki Mkutano huo kuzungumza na vongozi mbalimbali,… Continue reading Rais Jakaya Kikwete kinara wa kutafuta fedha za uwekezaji kwenye Elimu
Which is the contract between Enzo Moresca and Chelsea
He will sign a 5-year contract! Despite the fact that many well-known insiders reported that Enzo Mareschi’s contract with London’s Chelsea would be for 3 years, The Athletic journalist David Ornstein denied this information. “Negotiations are underway, everything is very fast and soon we should find out the name of the new Chelsea head coach.… Continue reading Which is the contract between Enzo Moresca and Chelsea