WAFAHAMU MASTAA WA KIKE WA TANZANIA WANAOSHABIKIA YANGA NA SIMBA

MAKALA Kwenye mpira wa miguu,mastaa wa kike wa Tanzania nao hawako nyuma kuupenda na kuunga mkono mchezo huu. Hii ni orodha ya baadhi ya mastaa wanaoshabikia timu za Simba na Yanga. Hamisa Mobetto – Simba Msanii wa filamu, mziki, mjasiriamali na mmoja ya wanawake wenye wafuasi wengi mtandao wa Instagram 10.2 Milioni Hamisa Mobetto ni… Continue reading WAFAHAMU MASTAA WA KIKE WA TANZANIA WANAOSHABIKIA YANGA NA SIMBA

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner