STAN BOWLES AFARIKI DUNIA

HABARI KUU Nyota wa zamani wa QPR, Manchester City na Timu ya Taifa England, Stan Bowles amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 75 baada ya kuugua kwa muda mrefu ugonjwa wa ‘Alzheimer’ Bowles ambaye alikuwa mmoja wa vipaji bora nchini England wakati wake kama mchezaji aligundulika na ugonjwa wa neva mnamo 2015. Taarifa iliyotolewa… Continue reading STAN BOWLES AFARIKI DUNIA

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner