MAPENZI Mahusiano mazuri yana mambo mengi mazuri kati ya wawili wapendanao na huwa yanaenda tu yenyewe bila kutumia nguvu. Pale mwanaume au kijana unapokuwa sehemu sahihi ya mapenzi basi haya mambo huwa hayahitaji nguvu au ushawishi wako.
Tag: #Tanzania
WACHEKESHAJI WAWILI MBARONI
MICHEZO Bodi ya filamu Nchini (TFB) imewakamata waigizaji wa vichekesho maarufu, Kicheche na Clam kwa kosa la kukiuka sheria ya bodi ya filamu ikiwemo kurusha maudhui pasipo kusajiliwa. Kwa mujibu wa bodi hiyo,wasanii hao wameitwa mara kadhaa kupeleka kazi zao ili kuhakikiwa na kupewa vibali vya kufanya shughuli zao za uigizaji lakini wamekuwa wakipuuza.