MVUA YAFUKUA MAKABURI ,MIILI YASOMBWA

MAGAZETI Karibu Mtanzania popote pale ulipo kwenye asubuhi ya leo kwenye mbao za magazeti ya hivi leo popote pale ulipo kwenye Jamhuri yetu tukufu ya Tanzania.

XABI ALONSO ATOA ONYO KWA WACHEZAJI WA BAYER LEVERKUSEN

MICHEZO Vinara wa Bundesliga, Bayer Leverkusen wanakaribia kupata taji lao la kwanza kabisa la ligi lakini kocha Xabi Alonso (42) aliwaonya wachezaji wake siku ya Ijumaa kwamba mbio hizo bado hazijakamilika licha ya uongozi wao wa pointi 13 zikiwa zimesalia mechi saba kabla ya ligi kutamatika. Mhispania huyo, ambaye ameiongoza Leverkusen katika mfululizo wa michezo… Continue reading XABI ALONSO ATOA ONYO KWA WACHEZAJI WA BAYER LEVERKUSEN

THINGS OTHER THAN SEX TO MAKE YOUR HUSBAND HAPPY

LOVE ❤ 8 Things Other Than Sex To Make Your Husband Happy. 1. True Love:What does true love really mean? On its face, it’s totally subjective. But at its core, true love is the willingness to give of yourself for the benefit of someone else. Like a mother does for her son, she gives everything… Continue reading THINGS OTHER THAN SEX TO MAKE YOUR HUSBAND HAPPY

BURUNDI YAMPONGEZA VLADIMIR PUTIN KWA USHINDI WAKE

HABARI KUU Waangalizi kutoka Burundi wamesema Uchaguzi wa Urusi ambao umempatia Rais Vladimir Putin kuongoza muhula wa tano mfululizo, ulikuwa huru na haki. Kwa mujibu wa Prosper Ntahorwamiye aliyekuwa anaongoza kundi la waangalizi kutoka Burundi katika uchaguzi huo, amefahamisha kuwa raia walichagua wakiwa katika hali ya utulivu bila ya kuwa na usumbufu wowote baadhi ya… Continue reading BURUNDI YAMPONGEZA VLADIMIR PUTIN KWA USHINDI WAKE

BURUNDI NA RWANDA ZAINGIA KWENYE VITA YA KIUCHUMI

HABARI KUU Serikali ya Burundi imesema Mfanyabiashara atakayekamatwa akiwa anapeleka biashara nchini Rwanda ataadhibiwa kama adui wa nchi. Hayo yamesema na Mkuu wa Mkoa wa Cibitoke, Careme Bizoza wakati akizungumza na Wakuu wa Wilaya, Madiwani na Wenyeviti wa Mkoa huo unaopakana na Rwanda. Wananchi wa mkoa huo wamesema kuwa hatua hiyo ni kama kuwafunga mikono… Continue reading BURUNDI NA RWANDA ZAINGIA KWENYE VITA YA KIUCHUMI

Baada ya kuondolewa katika Uongozi wa Chama cha CNL katika Mkutano uliofanyika mkoani Ngozi Kaskazini mwa Burundi, Mhe.Agathon Rwasa amerejea nchini baada ya kuwa nje ya nchi kikazi.

Mbunge Agathon Rwasa amepokelewa na familia na wafuasi wake katika chama cha CNL.

Nafasi ya Kiongozi huyo wa zamani wa kundi la waasi mwenye umri wa miaka 60 imechukuliwa na Nestor Girukwishaka.

Chama cha CNL ambacho kilianzishwa mwaka wa 2019, kilisimamishwa mwaka jana na serikali ya Burundi ikikituhumu kutotii sheria na kuhataraisha usalama wa ndani wa nchi.

GHANA YAJIPANGA KUWAKABILI WANAOJIHUSISHA NA MAPENZI YA JINSIA MOJA

HABARI KUU Bunge la Ghana limepitisha Muswada mkali dhidi ya watu wanaojitambulisha kwa jinsia na mahusiano yasiyokubalika kisheria. Chini ya muswada huo, mtu yeyote atakayekutwa na hatia hiyo atahukumiwa kifungo cha hadi miaka mitatu jela. Aidha, watakaoanzisha au kuyafadhili makundi ya watu wa aina hiyo watahukumiwa kifungo cha miaka mitano jela. Pamoja na hayo, wale… Continue reading GHANA YAJIPANGA KUWAKABILI WANAOJIHUSISHA NA MAPENZI YA JINSIA MOJA

BURUNDI NA TANZANIA KUFANYA BIASHARA YA PAMOJA

HABARI KUU SERIKALI kupitia Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) imetia saini mkataba mpya wa kibiashara wenye thamani ya Dola za Kimarekani Milioni 3.3 (sawa na Sh. Bilioni 8.3) kwa lengo la kuongeza huduma za mkongo wa Taifa wa Mawasiliano na Shirika la Burundi Backbone System (BBS) ya nchini Burundi. Hafla ya kutia saini mkataba huo… Continue reading BURUNDI NA TANZANIA KUFANYA BIASHARA YA PAMOJA

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner