WANAOTAJWA KUHUSIKA NA SHAMBULIZI LA KIGAIDI NCHINI URUSI

HABARI KUU Ukumbi wa Jiji la Crocus huko Krasnogorsk, kitongoji kilicho kaskazini-magharibi mwa Moscow, unajulikana kwa uenyeji wa maelfu ya watu na kupokea wasanii wengi wa Kimataifa. Video katika mitandao ya kijamii ilionesha watu kadhaa waliokuwa na silaha wakiingia ndani ya ukumbi huo kabla ya kufyatua risasi na kusababisha watu 60 kufariki na wengine zaidi… Continue reading WANAOTAJWA KUHUSIKA NA SHAMBULIZI LA KIGAIDI NCHINI URUSI

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner