MAGAZETI YA LEO AGOSTI 10,2023

Dar es salaam. Magazeti ya leo yana habari kuhusu , Sakata la Bima kwa wote lamuibua Waziri Ummy Mwalimu atakiwa kutoa ufafanuzi kuhusu mchakato lakini akwama kutoa majibu. Na habari nyingine iliotapakaa kwenye magazeti ya leo ni kuhusu , Sakata la Gazeti la Mwanahalisi kuwaanika Rais Mstaafu Jakaya Kikwete na Makamu Mwenyekiti CCM bara Abdullahman… Continue reading MAGAZETI YA LEO AGOSTI 10,2023

JE NI NINI KINASABABISHA MFULULIZO WA MAPINDUZI YA KIJESHI KWENYE SERIKALI ZA AFRIKA?

Makala Fupi Katika siku za hivi karibuni kumekuwa na matukio ya kijeshi ya nchi mbalimbali kupindua Serikali za nchi zao huku sababu zikitajwa kuwa ni Utawala Mbovu wa Viongozi waliopo Madarakani,Ufisadi, Rushwa na Kutokuheshimu Haki za Binadamu. Inaelezwa 38% tu ya Nchi za Afrika zimebaki na utaratibu wa ukomo wa mihula ya Urais ,nyingine zilizojaribu… Continue reading JE NI NINI KINASABABISHA MFULULIZO WA MAPINDUZI YA KIJESHI KWENYE SERIKALI ZA AFRIKA?

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner