Tinubu Sends Warning To FG workers collecting salaries after relocating abroad

President Bola Tinubu has directed all civil servants collecting salaries from government after they have relocated abroad to make refunds. He also directed that the supervisors and departmental heads of the culprits must be sanctioned for aiding and abetting the fraud under their watch. Tinubu gave the directive at the award night organised by the… Continue reading Tinubu Sends Warning To FG workers collecting salaries after relocating abroad

Bunge lamshushia Rungu Zito Mbunge LUHAGA MPINA

HABARI KUU Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina amefungiwa kuhudhuria vikao 14 vya Bunge kuanzia leo Juni 24, 2024 baada ya ‘kutiwa hatiani’ kwa kosa kukiuka kanuni za Bunge, kudharau mamlaka ya Spika na mwenendo wa shughuli za Bunge. Mpina amepewa adhabu hiyo baada ya wabunge kuchangia hoja ya Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya… Continue reading Bunge lamshushia Rungu Zito Mbunge LUHAGA MPINA

Online users express their thoughts as Nollywood actress Eniola Badmus publicly reminds singer Davido about their upcoming wedding.

Nigerian actress Eniola Badmus has hinted at her awareness of singer Davido’s approaching wedding to Chioma Rowland through an online post. As Davido prepares for his traditional wedding to Chioma on June 25th, anticipation for the event is building. Preparations for the celebration have been widely shared on social media, creating a buzz among followers.… Continue reading Online users express their thoughts as Nollywood actress Eniola Badmus publicly reminds singer Davido about their upcoming wedding.

Musician Wizkid has hinted at something mysterious on social media prior to Davido’s upcoming wedding with Chioma.

As anticipation builds for the wedding of Davido and Chioma, fellow Nigerian musician Wizkid (real name Ayodeji Ibrahim Balogun) has expressed reservations about the event through a recent social media post. On the platform previously known as Twitter, now renamed X, Wizkid showered praise on his fourth son, AJ. This has raised concerns that Wizkid… Continue reading Musician Wizkid has hinted at something mysterious on social media prior to Davido’s upcoming wedding with Chioma.

“Drop a verse for my wife”-Davido reached out to fellow musicians Wizkid and Burna Boy, requesting their presence to make the occasion even more special.

Afrobeat sensation Davido has extended a special invitation to his music industry peers, including Wizkid and Burna Boy, ahead of his upcoming wedding to Chioma. Grammy-winning artist Wizkid recently hinted at Davido’s wedding on social media, sparking excitement among fans. The highly-anticipated wedding, dubbed “Chivido24,” is set to take place on June 25, 2024, at… Continue reading “Drop a verse for my wife”-Davido reached out to fellow musicians Wizkid and Burna Boy, requesting their presence to make the occasion even more special.

Rais HUSSEIN MWINYI Awapiga Chenga “Machawa” Zanzibar

Serikali ya Zanzibar imesema Rais wa Zanzibar Dk. Hussein Mwinyi ni Muumini wa kufuata Katiba na Sheria za Nchi na kusisitiza kwamba maoni yanayopendekaza aongezewe muda wa kubakia madarakani kwa miaka saba badala ya miaka mitano iliyoainishwa katika Katiba ya Zanzibar sio ya Rais Mwinyi wala sio ya CCM Zanzibar. Taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa… Continue reading Rais HUSSEIN MWINYI Awapiga Chenga “Machawa” Zanzibar

Serikali Yakubali Yaishe Kariakoo Yaja na Mwarobaini wa Mgogoro

HABARI KUU Serikali imesitisha zoezi la ukaguzi wa risiti za kielekroniki (EFD) na ritani za kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT), iliyokuwa ikifanywa na Mamlaka ya Mapato Tanzania kupitia Mkoa wa kikodi wa Kariakoo, Dar es salaam wakati ukiandaliwa utaratibu mzuri wa utekelezaji wa suala hilo katika Soko Kuu la Kimataifa la Kariakoo. Hayo yamesemwa… Continue reading Serikali Yakubali Yaishe Kariakoo Yaja na Mwarobaini wa Mgogoro

WAFANYABIASHARA KARIAKOO WAGOMA SABABU IKIWA NI HII

Hali ilivyo katika mitaa mbalimbali ya soko kuu la Kariakoo lilipo Jiji Dar es Salaam, asubuhi ya leo Juni 24 2024, wafanyabiashara wamegoma kufungua maduka wakishinikiza serikali kutekeleza makubaliano yao waliyokubaliana mwaka jana 2023 katika kikao chao na waziri Mkuu Kassim Majaliwa. Baadhi ya wafanyabiashara wamesema sababu kubwa iliyopelekea wao kufanya mgomo huu katika Soko… Continue reading WAFANYABIASHARA KARIAKOO WAGOMA SABABU IKIWA NI HII

Super Eagles drop eight places in lastest FIFA Ranking

Nigeria’s Super Eagles dropped eight places in the latest monthly ranking released by the Federation of International Football Federation (FIFA) on Thursday. The three-time African champions dropped from 30th to 38th position. It would be recalled that the Super Eagles dropped two places in the previous FIFA ranking. The slip in the ranking follows the… Continue reading Super Eagles drop eight places in lastest FIFA Ranking

‘I’ve 150 staff, paid them 5 years in advance’ – BBNaija Whitemoney

Big Brother Naija reality star and singer, Hazel Oyeze Onou, aka Whitemoney, has claimed that he has 150 employees on his payroll. The former BBN winner also claimed that he has paid them up to five years in advance. Speaking in a recent interview with Echoo Room, Whitemoney explained that he pays his staff members… Continue reading ‘I’ve 150 staff, paid them 5 years in advance’ – BBNaija Whitemoney

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner