ISRAEL YAKIUKA OMBI LA UNSC

Jeshi Israel linaendelea na mashambulizi yake dhidi ya Rafah, likipuuzia rasimu ya azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UNSC) linalohusikia kusitisha mauaji katika mji huo ulioko Kusini mwa Gaza. Mashambulizi mapya ya Anga yaliripotiwa katika mji wa Kusini jana Jumatano saa chache baada ya mashahidi na chanzo cha usalama cha Palestina kusema… Continue reading ISRAEL YAKIUKA OMBI LA UNSC

MAGAZETI YA LEO 29 MEI 2024

Actress Regina Daniel and her spouse, Ned Nwoko mark a significant milestone on their marriage

A touching video showcasing their close bond and treasured moments was posted to commemorate their five-year wedding anniversary. The fifth anniversary of their marriage, marked by unwavering love and years of marital bliss, was celebrated by Nigerian movie star Regina Daniels and her politician husband Ned Nwoko. Regina Daniel rejoiced in their union and thanked… Continue reading Actress Regina Daniel and her spouse, Ned Nwoko mark a significant milestone on their marriage

“I regret making song about my ex” Adekunle Gold

Singer Adekunle Gold has expressed regret over writing a song about his ex-girlfriend who broke his heart. The song, “Damn Delilah,” featured on his debut album “About 30,” captures his feelings of heartbreak. In celebration of the album’s sixth anniversary, the singer shared the album cover on his X handle on Sunday, May 27, with… Continue reading “I regret making song about my ex” Adekunle Gold

Rais Jakaya Kikwete kinara wa kutafuta fedha za uwekezaji kwenye Elimu

Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete kwa nafasi yake ya Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Ubia wa Elimu Duniani (GPE) ameshiriki Mkutano wa Mwaka 2024 wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB 2024 Annual Meeting) unaofanyika jijini Nairobi, Kenya tarehe 26 – 28 Mei, 2024. Ametumia fursa ya kushiriki Mkutano huo kuzungumza na vongozi mbalimbali,… Continue reading Rais Jakaya Kikwete kinara wa kutafuta fedha za uwekezaji kwenye Elimu

NANI KUWA MFUNGAJI KATI YA AZIZ KI NA FEISAL SALUM?

Leo jioni tutajua nani Mfungaji bora wa Ligi Kuu Bara msimu huu, Mchuano uko kwa nyota wawili Stephane Aziz KI wa Yanga SC na Feisal Salum wa Azam FC. Mchuano sio mdogo. Kila mmoja ameshafunga mabao 18. Yanga SC watakuwa katika Uwanja wa Azam Complex Chamazi kucheza dhidi ya Tanzania Prisons kutoka Mbeya. Mchezo huu… Continue reading NANI KUWA MFUNGAJI KATI YA AZIZ KI NA FEISAL SALUM?

Nchini Korea Kaskazini kama “Birthday” yako ni tarehe 8 Julai au 17 Desemba basi huna bahati, kwani hairuhisiwi kusherehekea siku yako ya kuzaliwa.

Sababu kubwa ni kwamba tarehe hizo Baba wa Taifa hilo “Kim Il-Sung” na “Kim Jong-Il” walifariki, hivyo ni onyo kuonesha dalili yoyote ya furaha kama ni siku yako ya kuzaliwa. “Kim Il-Sung” ndiye Mwanzilishi wa Nchi ya Korea Kaskazini Mnamo mwaka 1948, pia alikuwa Kiongozi Mkuu (Supreme Leader) wa kwanza wa nchi hiyo Kuanzia Mwaka… Continue reading Nchini Korea Kaskazini kama “Birthday” yako ni tarehe 8 Julai au 17 Desemba basi huna bahati, kwani hairuhisiwi kusherehekea siku yako ya kuzaliwa.

WHAT YOU MUST DO BEFORE YOUR RELATIONSHIP CAN WORK

You need to agree on mode of communication and how to make most of the calls and chats each other. I suggest the call and chatting should be balanced. Empty pocket won’t buy Airtime and subscribe for data. If you are the only one who initiates all the calls, chats or visit, then your relationship… Continue reading WHAT YOU MUST DO BEFORE YOUR RELATIONSHIP CAN WORK

WHAT EVERY WOMAN NEEDS TO KNOW ABOUT HERSELF

Mshambuliaji wa Manchester United, Anthony Martial (28) amethibitisha kuondoka ndani ya kikosi hicho baada ya msimu huu kumalizika wiki iliyopita, huku akiiandikia timu hiyo ujumbe mzito.

Martial raia wa Ufaransa kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika kuwa “Kwenu mashabiki wa Manchester United, ni kwa majonzi makubwa kuwaandikia leo kuwaaga na kusema kwaherini. “ Baada ya miaka tisa kuwa pamoja katika klabu, wakati umefika wa mimi kuondoka na kufungua ukurasa mpya katika taaluma yangu hii ya Soka. Tangu nilipojiunga klabuni mwaka wa… Continue reading Mshambuliaji wa Manchester United, Anthony Martial (28) amethibitisha kuondoka ndani ya kikosi hicho baada ya msimu huu kumalizika wiki iliyopita, huku akiiandikia timu hiyo ujumbe mzito.

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner