Bodaboda usafiri mtamu wenye uchungu ndani yake

MAKALA Sote tunafahamu kuwa kutokana na msongamano wa miji inayoendelea kukua hasa hii ya Kiafrika na ugumu wa maisha katika mifuko, ilipelekea wengi kuuona usafiri wa Bodaboda kama njia rahisi, nafuu na ya haraka kwa usafiri wa umma ambayo hata hivyo ina mambo mengi. Kwa wasiofahamu Boda-Boda imepata jina lake kutokana na neno “mpaka”, kwani… Continue reading Bodaboda usafiri mtamu wenye uchungu ndani yake

Emilio Nsue López atangaza kurejea kwenye soka

MICHEZO Kinara wa ufungaji kwenye Fainali za Mataifa ya Bara la Afrika ‘AFCON 2023’ Emilio Nsue López ambaye alitangaza kustaafu baada ya kutofautiana na Uongozi wa Shirikisho la soka la Guinea ya Ikweta, amebatilisha uamuzi wake. Mshambuliaji huyo aliyefunga mabao matano ametangaza kurejea kwenye majukumu ya kuitumikia Guinea ya Ikweta, katika harakati za kusaka nafasi… Continue reading Emilio Nsue López atangaza kurejea kwenye soka

SHUHUDIA SHUGHULI YA MAZISHI YA EBRAHIM RAISI KIONGOZI WA IRAN

HABARI KUU Raia wengi wa Iran wamejitokeza katika mji mkuu wa nchi hiyo Tehran, kushiriki katika mazishi ya kitaifa ya Rais Ebrahim Raisi. Rais huyo wa Iran akiwa na Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo Hossein Amir – Abdollahian pamoja na maafisa wengine sita wa ngazi ya juu, walifariki dunia baada ya helikopta… Continue reading SHUHUDIA SHUGHULI YA MAZISHI YA EBRAHIM RAISI KIONGOZI WA IRAN

CHELSEA YAACHANA NA MAURICIO POCHETTINO

MICHEZO Uongozi wa Klabu ya Chelsea umetangaza kuachana na Kocha Mauricio Roberto Pochettino Trossero kwa makubaliano ya pande zote mbili ya kuvunja Mkataba ambao ulisainiwa mapema msimu wa 2023/24. Kocha huyo alisaini mkataba wa miaka miwili, hivyo sehemu ya mwaka mmoja katika Mkataba wake ndio imevunjwa kwa makubaliano maalum yaliyofikia kati yake na Uongozi wa… Continue reading CHELSEA YAACHANA NA MAURICIO POCHETTINO

Ederson Moraes yuko mbioni kuiacha Manchester City

MICHEZO Mlinda Lango wa Mabingwa wa Soka nchini England Manchester City Ederson Santana de Moraes anatajwa kuwa mbioni kuihama klabu hiyo, iliyomsajili miaka saba iliyopita. Taarifa zilizochapishwa kwenye Gazeti la The Mirror mapema leo Jumatano (Mei 22), imeeleza kuwa Mlinda lango huyo kutoka nchini Brazil anajipanga kuondoka na kutimkia Saudi Arabia. Ederson mwenye umri wa… Continue reading Ederson Moraes yuko mbioni kuiacha Manchester City

TOUCH HER IN THESE PLACES, INTIMATELY

LOVE TIPS ❤ TOUCH HER IN THESE PLACES, INTIMATELY….she loves it. Every traveller needs a map for directions and this is the essence of our topic for today. Women differ one from another. While some women like ice cream, others are satisfied with a bowl of soaked garri, sugar and lots of groundnut (winks). Even… Continue reading TOUCH HER IN THESE PLACES, INTIMATELY

SEAN COMBS HAS BEEN ACCUSED BY A WOMAN IN ORAL SEX WITHOUT HER CONSENT

Rapper and businessman Sean Combs “Diddy”, has been accused by a woman who was a model who claims he was forced to participate in oral sex without her consent while she was unconscious Crystal McKinney at the age of 22 met #Diddy, Cipriani Downtown NYC In 2003 at a menswear show, she was invited to… Continue reading SEAN COMBS HAS BEEN ACCUSED BY A WOMAN IN ORAL SEX WITHOUT HER CONSENT

What to do when your husband doesn’t want to have sex with you

LOVE TIPS ❤ 1. CHECK YOUR ATTITUDENo matter how sexy you are or dress, if you have a bad attitude, your husband will struggle to desire you. If you are ever complaining, negative, bitter, cold; he will keep off 2. CHECK HIS STRESS LEVELSSex starts in the mind. When a man is mentally strained, his… Continue reading What to do when your husband doesn’t want to have sex with you

Zack Orji claims he is from Gabon and not fully Nigerian

CELEBRITIES Veteran Nollywood actor Zack Orji has recently opened up about his identity and heritage, revealing that he is not a full NigerianZack Orji claims he is from Gabon and not fully NigerianBorn in Gabon to a father who frequently traveled for work, Orji shared this strange aspect of his life in a recent podcast… Continue reading Zack Orji claims he is from Gabon and not fully Nigerian

Peter Obi criticizes Tinubu’s administration for proposing to spend N10 billion on constructing a car park and other facilities in the national assembly

POLITICS Presidential candidate Peter Obi of the Labour Party has criticized the federal government led by President Bola Tinubu for its plan to spend N10 billion on a car park and recreational facilities for the National Assembly members. Peter Obi criticized the government’s irresponsible financial practices and urged the federal authorities to channel funds primarily… Continue reading Peter Obi criticizes Tinubu’s administration for proposing to spend N10 billion on constructing a car park and other facilities in the national assembly

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner