Chelsea yamfukuza Mauricio Pochettino

Klabu ya Chelsea imethibitisha kuachana na kocha wake, Mauricio Pochettino kwa makubaliano ya pande mbili mbili. “Chelsea, tungependa kutoa shukrani zetu kwa Mauricio kwa huduma yake msimu huu. Atakaribishwa tena Stamford Bridge wakati wowote na tunamtakia kila la heri katika maisha yake ya baadaye ya ukufunzi,” imesema taarifa ya klabu hiyo. Pochettino ameondoka na benchi… Continue reading Chelsea yamfukuza Mauricio Pochettino

Saga says he’s married to Liquorose

CELEBRITIES Former BBNaija star, Saga has claimed he is married to fellow reality TV star, Liquorose. Well, in his dreams, lol. On a red carpet interview with Timi Agbaje, Saga was asked about his past relationship with Nini, to which he responded with a laugh, indicating he had moved on. When questioned about his current… Continue reading Saga says he’s married to Liquorose

Liverpool yamtangaza Arne Slot kumrithi Jurgen Klopp

MICHEZO Klabu ya Liverpool imemtangaza rasmi aliyekuwa Kocha Mkuu wa Klabu ya Feyenoord ya nchini Uholanzi Arne Slot, kuwa mrithi wa Jurgen Klopp aliyeondoka klabuni hapo juzi Jumapili (Mei 19). Slot alitarajiwa kuwa Mkuu wa Benchi la Ufundi la Liverpool kabla ya kutangazwa na Uongozi wa Klabu hiyo, kwani aliwahi kuwathibitishia Waandishi wa Habari nchini… Continue reading Liverpool yamtangaza Arne Slot kumrithi Jurgen Klopp

Chelsea kumuuza Trevoh Chalobah

MICHEZO Klabu ya Chelsea iko tayari kumuuza Trevoh Chalobah kwa Pauni Milioni 25 msimu huu wa joto na inapania kutoa ofa kwa beki huyo mwenye umri wa miaka 24. Kwa mujibu wa Gazeti la Telegraph, Mchezaji huyo kutoka England alitakiwa na Tottenham, Bayern Munich na Nottingham Forest msimu uliopita wa joto. Pendekezo la kwanza kwa… Continue reading Chelsea kumuuza Trevoh Chalobah

Radamel Falcao mbioni kuiacha Rayo Vallecano

MICHEZO Aliyewahi kuwa mshambuliaji wa klabu za Chelsea na Manchester United Radamel Falcao ametangaza kuachana na Klabu ya Rayo Vallecano ya Hispania. “Mkataba wangu unaisha Juni 30 na kisha nitaangalia ni chaguo gani. “Najisikia vizuri, nataka kuendelea kucheza, hivyo tutaangalia mpango huo kwa umakini, mimi na familia yangu ambayo ina uzito mkubwa katika uamuzi huu.… Continue reading Radamel Falcao mbioni kuiacha Rayo Vallecano

Mwanzo Mwisho wa Maisha ya Ebrahim Raisi kiongozi mkuu wa Iran

NYOTA WETU Ebrahim Raisolsadati maarufu kama Ebrahim Raisi aliyekuwa amefikisha miaka 64, alikuwa akipigiwa upatu kuwa mrithi anayeweza kukalia kiti cha Ayatollah Ali Khamenei kama Kiongozi Mkuu, nafasi ambayo ni ya juu kabisa ya kisiasa na kidini katika jamhuri hiyo ya Kiislamu na akitajwa kama mtu mwenye msimamo mkali wa kidini. Alichaguliwa kuwa rais wa… Continue reading Mwanzo Mwisho wa Maisha ya Ebrahim Raisi kiongozi mkuu wa Iran

Wairan waandamana kuomboleza kifo cha Ebrahim Raisi

HABARI KUU Maelfu ya watu wamekusanyika katikati mwa mji mkuu wa jimbo la Azerbaijan Mashariki, wakiomboleza huku wakiwa wamebeba picha za aliyekuwa rais wa Iran, Ebrahim Raisi aliyefariki katika ajali ajali ya Helikopta. Katika ajali hiyo, Ebrahim Raisi (63), aliaga dunia sambamba na Waziri wa Mambo ya Nje wa Nchi hiyo, Amir Abdollahian na Maafisa… Continue reading Wairan waandamana kuomboleza kifo cha Ebrahim Raisi

MANARA AIKOSOA TFF TENA

MICHEZO Aliyekuwa Mhamasishaji wa Klabu ya Young Africans, Haji Sunday Ramadhan Manara, amelishauri Shirikisho la Soka nchini Tanzania ‘TFF’ kuelekea mchezo wa Fainali Kombe la Shirikisho ‘CRDBFC’ utakaopigwa Mkoani Manyara, Juni 02, 2024. Mchezo huo utakaozikutanisha Young Africans na Azam FC zote za dar es salaam umepangwa kupigwa katika Uwanja wa Tanzanite uliopo mjini Babati,… Continue reading MANARA AIKOSOA TFF TENA

SABABU 10 ZA MIMBA KUHARIBIKA

AFYA ” HIZI HAPA SABABU KUMI MUHIMU ZA MIMBA KUHARIBIKA – ( MISCARRIAGE ). Kati ya mimba 100 zinazobebwa ni 80 tu ndio zinafika kuzaliwa, yaani asilimia ishirini ya mimba zinazobebwa huharibika hata kabla ya kufika miezi mitatu. Kuna sababu nyingi zinazoweza sababisha mimba kuharibika lakini leo nitaeanda Kuongelea zile muhimu ili kila mtu kama… Continue reading SABABU 10 ZA MIMBA KUHARIBIKA

A video featuring Wizkid, Mayorkun, and BNXN has sparked reactions

CELEBRITIES Amidst the ongoing feud between Davido, Wizkid, and BNXN, singer Mayorkun has collaborated with both Wizkid and BNXN on a new project. A video featuring Wizkid, Mayorkun, and BNXN has sparked reactions. Mayorkun is seen interacting with Wizkid and BNXN, who have been involved in a dispute with Mayorkun’s former employer, Davido. It is… Continue reading A video featuring Wizkid, Mayorkun, and BNXN has sparked reactions

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner