SABABU VINICIUS JR KUBAGULIWA ZAIDI VIWANJANI

NYOTA WETU Winga wa Brazil na Real Madrid Vinicius Jr (23) amelia kwa uchungu wakati akielezea ubaguzi anaoupitia nchini Uhispania. Akizungumza na waandishi wa kuelekea mechi kati ya Brazil na Hispania, Vinicius alionekana kuwa na hisia kubwa. “Mimi nataka kucheza soka tu, ila hii hali inanifanya nikose hamasa ya kucheza”. Mechi hiyo ya kirafiki inayolenga… Continue reading SABABU VINICIUS JR KUBAGULIWA ZAIDI VIWANJANI

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner