BUNGE LAITAKA SERIKALI KUPUNGUZA GHARAMA ZA UMEME

HABARI KUU Mwenyekiti Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, Dkt. David Mathayo ameishauri Serikali kuangalia gharama za uunganishaji umeme kwa Wananchi wanaoishi katika maeneo yanayotambulika kama Vijiji Miji, ili kuwawezesha Wananchi wengi kuunganisha umeme kwenye maeneo yao. Ameshauri kuwe na usawa wa gharama za uunganishaji umeme kati ya wananchi wa vijijini na… Continue reading BUNGE LAITAKA SERIKALI KUPUNGUZA GHARAMA ZA UMEME

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner