Michezo
Dirisha la usajili la Ligi kuu ya England limefungwa ,ambapo ni rasmi sasa vita ya kusaka Ubingwa wa ligi hiyo pendwa ulimwenguni umeshika kasi. Ligi hiyo yenye vilabu 20 imepata mtikisiko kwenye kipindi hiki baada ya Ligi kuu Saudia Arabia kumwaga fedha ambazo zimewavuta mastaa kwenda kwenye ligi ya Saudia.
ORODHA YA WACHEZAJI WALIOSAJILIWA NA TIMU ZAO.
Discover more from JUNIITV.ONLINE
Subscribe to get the latest posts sent to your email.