TEN HAG NA SANCHO WAGOMBANA

0:00

London

Winga #JadonSancho amedai sio kweli kuwa amekuwa hapati nafasi ya kucheza kwenye kikosi cha #ManchesterUnited kwasababu hajaonesha kiwango kizuri kama kocha wake, Erick Ten Hag alivyonukuliwa,bali hivyo ni visingizio dhidi yake.

Kabla ya kichapo cha jana cha 3-2 dhidi ya Arsenal, Ten Hag alisema Sancho hajaonesha kiwango kizuri mazoezini ndio maana hakuwepo katika mipango yake.

Baada ya mchezo huo ,Sancho mwenye umri wa miaka 23 alisema “Nimeonesha bidii mazoezini wiki hii ,naamini kuna sababu nyingine ambazo siwezi kuzizungumza. Nimekuwa”mbuzi wa kafara ” kwa muda mrefu ,sio haki”.


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  MASON GREENWOOD NA MANCHESTER UNITED MAMBO NI SAFI
Don't miss out!
Invalid email address

By Mujuni Henry

JUNIITV

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner                            

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading