WASANII WANAOTUMIA BANGI HAWA HAPA TANZANIA

0:00

HABARI

Kamishina Jenerali wa Mamlaka ya kupambana na kudhibiti Dawa za kulevya, Aretas Lymo amesema wanayo orodha ya wasanii wanaotumia na wale wanaohamasisha matumizi ya dawa za kulevya nchini na hivyo watatumia sheria ambazo zipo baada ya kuthibitisha na kuwapeleka Mahakamani.

Lymo amesema hayo wakati akizungumza na wahariri na wanahabari na kueleza kuwa hawatasita kumfungia msanii hata kama ni mkubwa kiasi gani?

“Wapo wasanii wanaotumia Cocaine wapo wanaotumia Heroine na wapo wale wanaotumia bangi hivyo wajirekebishe kabla hatujaanza kuchukua hatua”.


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  RAIS ALI HASSAN MWINYI AFARIKI DUNIA
Don't miss out!
Invalid email address

By Mujuni Henry

JUNIITV

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner                            

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading