DE BRUYNE AMKATAA MESSI MBELE YA RONALDO

0

0:00

NYOTA WETU.

Kiungo wa Manchester City, Kevin De Bruyne amemchagua ambaye angependa kucheza nae kati ya Cristiano Ronaldo na Lionel Messi.

Hivi karibuni, De Bruyne aliulizwa ni nani angependelea kucheza nae kati ya Cristiano Ronaldo na Lionel Andres Messi, ambapo Mbelgiji huyo alisema angependelea kucheza na Ronaldo badala ya Messi ,huku akitolea ufafanuzi kwamba Ronaldo ni Mshambuliaji na huku Messi ni mchezeshaji wa timu kama alivyo yeye ,kwahiyo yeye angependelea Mshambuliaji.

Ronaldo na Messi, ni wachezaji wawili nguli kuwahi kutokea ambapo mpaka sasa haijajulikana ni yupi bora zaidi ya mwenzake ? Kati ya tuzo 13 za Ballon d’Or karibia zote wamegawana na pia wamebeba mataji ya kitimu na binafsi.

Mujuni Henry
Author: Mujuni Henry

JUNIITV


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

Don't miss out!
Invalid email address

Leave a Reply

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading