NYOTA WETU.
Saddam Hussein aliendelea kukimbia kwa muda wa miezi nane baada ya uvamizi ulioongozwa na Marekani nchini Iraq š®š¶ mwaka 2003 wa kuhakikisha unamuondoa madarakani.
Hatimaye alikamatwa karibu na jiji la Tikrit Desemba 13,2003 . Vikosi vya Marekani vilihitaji msaada wa raia mmoja wa Iraq kwa jina la Dkt. Muafaq al-Rubale kumtafuta.
Baada ya miezi kadhaa ya kumtafuta ,Saddam Hussein alipatikana katika chumba cha chini ya ardhi katika nyumba ya shamba karibu na mji wa Tikrit.
Discover more from JUNIITV.ONLINE
Subscribe to get the latest posts sent to your email.