0:00

NYOTA WETU.

Saddam Hussein aliendelea kukimbia kwa muda wa miezi nane baada ya uvamizi ulioongozwa na Marekani nchini Iraq šŸ‡®šŸ‡¶ mwaka 2003 wa kuhakikisha unamuondoa madarakani.

Hatimaye alikamatwa karibu na jiji la Tikrit Desemba 13,2003 . Vikosi vya Marekani vilihitaji msaada wa raia mmoja wa Iraq kwa jina la Dkt. Muafaq al-Rubale kumtafuta.

Baada ya miezi kadhaa ya kumtafuta ,Saddam Hussein alipatikana katika chumba cha chini ya ardhi katika nyumba ya shamba karibu na mji wa Tikrit.

Mujuni Henry
Author: Mujuni Henry

JUNIITV


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  New video of Davido
Don't miss out!
Invalid email address

Leave a Reply

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading