MUDA SAHIHI WA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA

0

0:00

MAPENZI

Hii ni kwa walioko kwenye ndoa pekee .

Wakati sahihi wa kushiriki kwenye tendo la ndoa ni huu hapa:-

1. Kabla ya kusafiri

2. Baada ya kutoka safari

3. Kuanzia siku ya pili mpaka ya nne baada na kabla ya Mwanamke kuingia na kutoka kwenye siku hasa kwa mwenye siku zenye mpangilio mzuri wa mzunguko.

4. Kwa wanaotafuta mtoto ni pale tu yai linapopevuka

5. Kipindi chote cha UJAUZITO (miezi 9) kama unaweza kuhimili

6. Mnapokuwa na ugomvi

7. Mnapokuwa mna hisia za upweke

8. Usiku wenye mvua na baridi juu

9. Asubuhi sana hasa saa 10 usiku

10. Siku ya sherehe . Mfano Kipaimara ya watoto au unapomaliza ujenzi na kuhamia kwenye nyumba yenu mpya.

11. Unapokuwa una uhitaji wa tendo na kukuta mwenza wako yupo macho

12. Pale kila mmoja anapokuwa na uhitaji wa tendo

13. Baada ya kumaliza tofauti zenu kwenye ndoa.

Mujuni Henry
Author: Mujuni Henry

JUNIITV


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  RARE PHOTO OF KATHERINE JACKSON
Don't miss out!
Invalid email address

Leave a Reply

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading