0:00

MICHEZO

Jurgen Klopp ametangaza kuwa ataondoka Liverpool mwishoni mwa msimu huu wa 2023-24, baada ya kumaliza muda wake wa miaka tisa katika klabu hiyo.

Habari hizo zimeshtua sana wadau wa soka Duniani kutokana na mkataba wake kumalizika mwaka 2026 ,lakini amekiri kwamba ataachana na majukumu yake hayo kwa kile alichosema “anakosa nguvu “. Klopp mwenye umri wa miaka 56 amekuwa Kocha mwenye mafanikio makubwa.

Klopp aliteuliwa Oktoba 2015 na mkataba wake ulitakiwa kumalizika 2026 . Ameshinda ligi ya Mabingwa Ulaya mwaka 2019 kabla ya kuiongoza Liverpool kukata ukame wa kutwaa kombe la ligi kuu ya England, mnamo msimu wa 2019-2020 baada ya kupita miaka 30.

Mujuni Henry
Author: Mujuni Henry

JUNIITV


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  LIVERPOOL MABINGWA WA CARABAO
Don't miss out!
Invalid email address

Leave a Reply

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading