POGBA AFUNGIWA MIAKA MINNE KUCHEZA SOKA

0:00

MICHEZO

Kiungo wa Klabu ya Juventus na timu ya Taifa ya Ufaransa Paul Pogba amepigwa marufuku kucheza soka kwa miaka minne na Mahakama ya kupambana na dawa za kulevya nchini Italia.

Hukumu hiyo inaweza kumaliza safari ya soka ya Pogba, kwani mwezi ujao, atatimiza miaka 31.
Pogba alirejea Juventus kutoka Manchester United mnamo 2022 lakini alikabiliwa na majeraha, akicheza mechi 6 pekee Serie A, Juventus msimu uliopita na mbili msimu huu.


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  6 WAYS YOU MAKE YOURSELF LESS ATTRACTIVE TO MEN
Don't miss out!
Invalid email address

By Mujuni Henry

JUNIITV

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner                            

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading